John Shibuda anayewania nafasi ya Urais na Mgombea Mwenza Hassan Kijogoo wamerejesha fomu katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) zilizopo Jijini Dodoma.
Baada ya kujiridhisha, Tume ya Taifa imewateua wagombea hao kuwania nafasi ya Urais na Makamu wa Rais wa Tanzania baada ya kutimiza masharti.
Hawa wapo kwenye uchaguzi kwa sababu maalum.
Iwapo Lisu akikataa kutambua matokeo yamwisho yatakayotangazwa na tume, hawa kina Kijogoo watayakubali na watakuwepo siku ya kuapishwa Rais mteule wa Tume.