Necta duh

Dmatiko

Member
Joined
Mar 21, 2013
Posts
26
Reaction score
2
Takariban 10,000
waliokata rufaa ya
Matokeo Kidato cha
IV 2012 wafeli zaidi
 
Tatizo sio NECTA. Kufeli kulichangiwa na mambo mengi. Nashangaa watu wameshupalia NECTA. Watoto wenyewe walikuwa wengi wao hawasomi, walimu hakuna, mtaala uliokuwa unatekelezwa walimu hawana ujuzi nao (competence based), wazazi ndo kabisa hawana habari na elimu ya watoto wao, vifaa mashuleni hakuna, nidhamu mashuleni hakuna. Sasa hapo tulitegemea nini?
 

watoto wenyewe wamewekeza muda wao zaidi kwenye bangi fleva zao na kukariri films mbalimbali na tamthilia halafu mtoto huyohuyo akiulizwa wajate wahusika katika riwaya ya watoto wa mama ntilie au no longer at easy anashindwa wakati wamemeza tamthilia za kifilipino. "wachuma janga hula na wakwao" acha wakome na wazazi wao waliokuwa bize kuacha kuwafuatilia wanao kimasomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…