hizi ni fununu hata mimi ningekubwa na panga hili ningetengeneza tetesi kama izi ili kuuchafua kabisa mpango huu uonekane wa uonevu
Ila ukweli walio foji vyeti washughulikiwe, kama unamfahamu kigogo hata mmoja aliye achwa mseme hadharani humu mbona tunafunguka tu hakuna shida.