Salaam kwa wana JF wote,
Naomba mwenye ufahamu juu ya hii mitihani ya NECTA na CAMRIDGE anijuze jamani
Kuna vijana wetu wako kwenye hizi shule za academic grade 7 sasa,wanategemea kufanya mitihani karibuni ya kumaliza primary school,sasa basi wametueleza watafanya mitihani yote miwili,necta na cambridge as option.
Wataanza na cambridge na baada ya muda watafanya hii ya necta,
Swali langu;Je vijana wetu kama wataendelea na hiyo mitihani ya cambridge peke yake na kuendelea na shule hiyohiyo wakamaliza form 4 kuna madhara yoyote huko mbeleni?
Je kama hawatafanya hiyo mitihani ya necta kutakuwa na madhara gani huko mbele mbali na kukosa hicho cheti cha necta?
Je nini hasa faida ya hii mitihani ya NECTA na CAMBRIDGE??
Natanguliza shukrani.
Naomba mwenye ufahamu juu ya hii mitihani ya NECTA na CAMRIDGE anijuze jamani
Kuna vijana wetu wako kwenye hizi shule za academic grade 7 sasa,wanategemea kufanya mitihani karibuni ya kumaliza primary school,sasa basi wametueleza watafanya mitihani yote miwili,necta na cambridge as option.
Wataanza na cambridge na baada ya muda watafanya hii ya necta,
Swali langu;Je vijana wetu kama wataendelea na hiyo mitihani ya cambridge peke yake na kuendelea na shule hiyohiyo wakamaliza form 4 kuna madhara yoyote huko mbeleni?
Je kama hawatafanya hiyo mitihani ya necta kutakuwa na madhara gani huko mbele mbali na kukosa hicho cheti cha necta?
Je nini hasa faida ya hii mitihani ya NECTA na CAMBRIDGE??
Natanguliza shukrani.