NECTA toeni ufafanuzi

Rweye

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,057
Reaction score
7,611
Nimepata kuona waraka wa necta unaowaruhusu wahitimu wote waliowahi kupotelewa ama kuharibikiwa na vyeti vyao vya hawali kwamba sasa wanaweza kupatiwa vyeti mbadala ama 'alternative certificate' ..swala langu ni hivi,huu utaratibu unawahusu wote wahanga ama ni kwa ajiri ya wale ambao tu vyeti vyao vya hawali vilikuwa katika mfumo wa picha yaani kuanzia 2009 ama ni pamoja na wale ambao hawakuwa katika mfumo wa picha nikimaanisha 2009 kurudi nyuma? mwenye kulijua hili tafadhari msaada wenu
 
Inawahusu wale walioanza na vyeti vyenye picha tu mkuu na si vinginevyo.
 
Inawahusu wale walioanza na vyeti vyenye picha tu mkuu na si vinginevyo.

Duh!nimechoka aisee,kwahiyo sie wengine wa nyuma nyuma kidogo huu utaratibu unatufungia milango ..mbona majanga wangetafuta namna nyingine ili walau kuweza kuisaidia haraiki naamini wahanga ni wengi sana na wanaendelea kutaabika na kukosa haki zao mbali mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…