NECTA waache urasimu kwenye kazi nimeomba vyeti (replacement cert) takribani miezi 5 sasa bila majibu

NECTA waache urasimu kwenye kazi nimeomba vyeti (replacement cert) takribani miezi 5 sasa bila majibu

Jamaa Fulani Mjuaji

Senior Member
Joined
Jul 25, 2020
Posts
155
Reaction score
278
Nilienda Ofisi za NECTA mwezi Novemba mwaka Jana 2023 kuomba wanisaidie Replacement kwa Cheti Nilichopoteza Ikiwemo Cha Kidato Cha Nne Ofisi za NECTA

Wakanijibu kuwa kwa sasa wao hawafanyi Tena hizo Kazi ninatakiwa kujaza mwenyewe kwa njia Ya Mtandao, wakaniambia natakiwa nikajitangaze kwenye Gazeti Nikafanya Hivyo wakaniambia niwe na Loss Report nikapata Loss Report nikawa nayo wakasema na ID yangu na Passport Nilikamilisha Nyaraka zote

Waliniambia Ukiwa na hivo vitu na ukajaza mtandaoni ni siku 30 tu ukishalipia cheti kinakua Tayari, Nikajaza mtandaoni Vizuri Nikalipia kila cheti Laki 100,000 na control namba ninazo na Risiti.

Sasa KERO yangu ni kwamba ni Takribani miezi 5 Toka Nijaze vema Status inasema SUBMITED: BEING PROCESSED nikipiga simu wanasema Tuko kwenye mchakato Tunakifanyia kazi Nimepiga sana simu mara wanasema mhusika kaenda kutoa semina mpaka Arudi Mara wako kwenye kuendesha zoezi la kugawa mitihani ni kama imekua napigwa DanaDana na Mimi nimekuwa mvumilivu Sana Japo mambo mengi yamekwama.

Mpaka nikasema nikipiga simu safari hii nitamuambia yule anayepokea kama anataka nitoe chochote kitu aseme ili nipate cheti huenda wanataka Hela ya Kuprocess Haraka na hawasemi.

Jamani au kuna Namna wengine mnafanya mnavipata Vyeti haraka.

KERO YA NECTA.jpg
 
Nilienda Ofisi za NECTA mwezi Novemba mwaka Jana 2023 kuomba wanisaidie Replacement kwa Cheti Nilichopoteza Ikiwemo Cha Kidato Cha Nne Ofisi za NECTA

Wakanijibu kuwa kwa sasa wao hawafanyi Tena hizo Kazi ninatakiwa kujaza mwenyewe kwa njia Ya Mtandao, wakaniambia natakiwa nikajitangaze kwenye Gazeti Nikafanya Hivyo wakaniambia niwe na Loss Report nikapata Loss Report nikawa nayo wakasema na ID yangu na Passport Nilikamilisha Nyaraka zote

Waliniambia Ukiwa na hivo vitu na ukajaza mtandaoni ni siku 30 tu ukishalipia cheti kinakua Tayari, Nikajaza mtandaoni Vizuri Nikalipia kila cheti Laki 100,000 na control namba ninazo na Risiti.

Sasa KERO yangu ni kwamba ni Takribani miezi 5 Toka Nijaze vema Status inasema SUBMITED: BEING PROCESSED nikipiga simu wanasema Tuko kwenye mchakato Tunakifanyia kazi Nimepiga sana simu mara wanasema mhusika kaenda kutoa semina mpaka Arudi Mara wako kwenye kuendesha zoezi la kugawa mitihani ni kama imekua napigwa DanaDana na Mimi nimekuwa mvumilivu Sana Japo mambo mengi yamekwama.

Mpaka nikasema nikipiga simu safari hii nitamuambia yule anayepokea kama anataka nitoe chochote kitu aseme ili nipate cheti huenda wanataka Hela ya Kuprocess Haraka na hawasemi.

Jamani au kuna Namna wengine mnafanya mnavipata Vyeti haraka.
Hi nchi ni ngumu sana kuishi, uajibikaji hamna, huruma hamna......
 
KAMA HUTAKI KUTOA RUSHWA,
ANDIKO LAKO TUMA KA MALISA GJ AU MANGE KIMAMBI.
WATAFANYA MPAKA DELIVERY YA VYETI VYAKO
 
KAMA HUTAKI KUTOA RUSHWA,
ANDIKO LAKO TUMA KA MALISA GJ AU MANGE KIMAMBI.
WATAFANYA MPAKA DELIVERY YA VYETI VYAKO
Nilidhani nikitumia Jukwaa Hili Nitapata msaada wa Haraka zaidi kwa sababu naona Kero za Jamii Forum hufanyiwa kazi Haraka Ngoja nihangaike kuwatafuta Hao jamaa niwapatie kero Yangu
 
Bongo kabsa una trust the process ? Taasisi za umma zime ozaa watu wame relax kwakua wana security ya kazi ,ndo maana private sectors zina endelea japo zina pigwa misukosuko sana na government
 
Bongo kabsa una trust the process ? Taasisi za umma zime ozaa watu wame relax kwakua wana security ya kazi ,ndo maana private sectors zina endelea japo zina pigwa misukosuko sana na government
Daah...!! Natamani Kulia kwa kweli Hii hali inavunja sana Moyo kwa sisi Vijana Nilikuwa nimepata kazi Mahali walitaka vyeti Nimehangaika nimetumia pesa kuzunguka, waziri husika Sijui kama anajua haya kwenye wizara yake au anafumbia macho.
 
Back
Top Bottom