Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Baraza la Mitihani nchini limetangaza kuahirisha mitihani ya kidato cha sita na ualimu iliyokuwa ifanyikwe Mei 4, 2020 hadi pale itakapotoa taarifa mpya.
Tangazo hili limekuja baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kutangaza shule zote kuanzia za Awali hadi Kidato cha 6 kufungwa kwa siku 30 kuanzia Machi 17, 2020.
Alipotoa tangazo la kufungwa shule alisema Serikali itafanya marekebisho ya ratiba ya kidato cha 6, kwani wangekuwa na muda mfupi wa kujiandaa kwa mitihani.
Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa sita wa #Coronavirus waliothibitika.
Tangazo hili limekuja baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kutangaza shule zote kuanzia za Awali hadi Kidato cha 6 kufungwa kwa siku 30 kuanzia Machi 17, 2020.
Alipotoa tangazo la kufungwa shule alisema Serikali itafanya marekebisho ya ratiba ya kidato cha 6, kwani wangekuwa na muda mfupi wa kujiandaa kwa mitihani.
Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa sita wa #Coronavirus waliothibitika.