NECTA yatangaza Matokeo Kidato cha Nne 2022

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
757
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo January 29,2023 limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2022 ambapo Watahiniwa wa Shule 456,975 kati ya Watahiniwa 520,558 wenye matokeo ambao ni sawa na 87.79% wamefaulu kwa kupata madaraja kuanzia daraja la kwanza, daraja la pili, daraja la tatu na daraja la nne.

“Kati yao Wasichana 243,285 (87.08%) na Wavulana ni 213,690 (88.60%), ufaulu huu wa Watahiniwa wa Shule umeongezeka kwa 0.49% ikilinganishwa na mwaka 2021”

Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2008
Kuangalia matokeo fuata kiungo
 
Naona shule za sekondari za serikali, hatimaye zimerudi kwenye chati!

Au ndiyo kusema Baraza linaunga mkono sera ya elimu bure, na pia ujenzi wa madarasa nchi mzima?
 
Naona shule za sekondari za serikali, hatimaye zimerudi kwenye chati!

Au ndiyo kusema Baraza linaunga mkono sera ya elimu bure, na pia ujenzi wa madarasa nchi mzima?
Ujenzi Nchi Nzima Kila Mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…