PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,102
- 1,919
MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA. SHULE 38 ZAFUTIWA MATOKEO KWA UDANGANYIFU
Baraza la Mitihani nchini #Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kuhitimu Elimu ya Msingi ambapo limezifutia matokeo Shule 38 za Msingi kutokana na udanganyifu uliofanyika wakati wa Mitihani hiyo ya Taifa
Shule hizo 38 kati ya 17,329 ambazo zilifanya mtihani, ziligundulika kukiuka Kanuni na Usimamizi wa Mitihani baada ya Wanafunzi 1,059 kuonekana kuwa na ufanano mkubwa wa majibu. Shule hizo ni kutokea Mikoa ya Geita, Morogoro, Simiyu, Arusha na Tabora
Soma pia matokeo mengine kuanzia mwaka 2008
Kupitia Facebook page ya NECTA, katibu mkuu ametangaza matokeo ya darasa la Saba, ingia kwenye website ya NECTA
Baraza la Mitihani nchini #Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kuhitimu Elimu ya Msingi ambapo limezifutia matokeo Shule 38 za Msingi kutokana na udanganyifu uliofanyika wakati wa Mitihani hiyo ya Taifa
Shule hizo 38 kati ya 17,329 ambazo zilifanya mtihani, ziligundulika kukiuka Kanuni na Usimamizi wa Mitihani baada ya Wanafunzi 1,059 kuonekana kuwa na ufanano mkubwa wa majibu. Shule hizo ni kutokea Mikoa ya Geita, Morogoro, Simiyu, Arusha na Tabora
Soma pia matokeo mengine kuanzia mwaka 2008
- Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2008
- NECTA yatangaza matokeo ya Darasa la Saba 2019. Ufaulu waongezeka kwa asilimia 3.78
Kupitia Facebook page ya NECTA, katibu mkuu ametangaza matokeo ya darasa la Saba, ingia kwenye website ya NECTA