NECTA Yatangaza matokeo ya darasa la Saba. Shule 38 zafutiwa matokeo kwa udanganyifu

Kuna ka uncle kesho ndio mtihani bado nusu nikatie makofi baada ya kuona mwandiko wake,siku waliyomaliza mitihani akanihakikishia atafaulu,jana naangalia matokeo dogo kapiga A masomo yote thanks God 🙏
 
Mabinti waliofeli ndo wanakuja kitaa sasa

Nadhani vijijini ndoa zitakuwa nyingi

Mnasubiri kuoa hao mabinti wa miaka 13, 14? Huo ni uhujumu
Selections zikitoka mtapatikana ipasavyo na msirudi hapa kusema mnaonewa
 
Dr Msonde “This group will not get another chance of re-sitting the exam and it should serve as a lesson for others who plan to do the same… We will not allow them to use those methods to get results,” he insisted.

Kwa maana hatima ya hawa watoto ni kutokufanya mtihani kamwe tena au ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…