hehehheeh mie nna miaka 15 tuu ntafaa jamani...??????na bado nasoma wewe jee si pia wasoma??:A S 13::A S 13::A S 13:
Nakusemea kwa baba
bwana usiseme si halafu tutanunuliwa woote pringoz na cake....,, halaf na yeye bado asoma atatupa na book zake,,,usiseme eee???
Mie nahisi ni fataki huyu ataka haribu watoto kama sie!! tusicheze nae si unakumbua tulikatazwaaa
nina swali, kwanini user name mpya zinakimbilia kutafuta wachumba? Au kwa kutojiamini, mtu anashindwa kutumia user name yake halisi na anaamua kucreate nyengine? Au ni vipi hasa?
kumbe ndio mchezo weenu huo???
Hili jukwaa la kutafuta wachumba sijui litaanza lini yaratibi toba. Maana kama Mkwaruzo alivyosema New ID na kutafuta wachumba tuuuuuuuuuuuu its boring now wajameni aakkkhhh
mmhhh
kwa kweli
my dear all the best wengi humu ni ma
bibi na babu
baba na mama
na hiyo miaka my dear duuhh ..
halafu unene kwetu sifa my dear ..
kwenye maumbo huko siingi..
ila nisikukatishe tamaa mpendwa..
kama babu anavyosemaga kizazi cha dot com..
kama wapo watajitokeza tu dear all the best..
Mimi sitaki kukukatisha tamaa ila Kwa ushauri wangu ungeanzia kitabu sura!a.k.a. Facebook utapata hata wachini ya hapo lakini JF uangalie unaweza ukapoteza mda mwingi na pm zakutosha kumbe DUME LENZIO huku full usanii.Hi wana jamii forums mi natafuta girlfriend wa kuwa nae. sifa, awe na umri usiozidi miaka 21 asiwe mnene sana pia awe na umbo zuri.<br />
sifa zangu,sio mrefu sana au mfupi yaani saizi ya kati,21 miaka,sio mnene.
Mchumba AD,
Umepotea sana bana! mpaka na mimi nataka kuanza kutafuta mchumba!
Hili jukwaa la kutafuta wachumba sijui litaanza lini yaratibi toba. Maana kama Mkwaruzo alivyosema New ID na kutafuta wachumba tuuuuuuuuuuuu its boring now wajameni aakkkhhh
kama ni members wa zamani bora watumie ID zao za zamani maana humu watu tushawasoma tabia kwa kiasi fulani. Inaweza ikawa rahisi kwao kupata mchumba.nina swali, kwanini user name mpya zinakimbilia kutafuta wachumba? Au kwa kutojiamini, mtu anashindwa kutumia user name yake halisi na anaamua kucreate nyengine? Au ni vipi hasa?
Hi wana jamii forums mi natafuta girlfriend wa kuwa nae. sifa, awe na umri usiozidi miaka 21 asiwe mnene sana pia awe na umbo zuri.
sifa zangu,sio mrefu sana au mfupi yaani saizi ya kati,21 miaka,sio mnene.