Need for Quick and Cheap Financial Help (LOAN)

Lady Ra

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
879
Reaction score
991
Salaam Wakuu,

Mimi sio mwajiriwa popote, nina shughuli zangu ndogondogo tu za hapa na pale. Nina shida au dharura ya ghafla ya kifedha kiasi cha Tshs 15Million.

Wapi naweza kupata kwa haraka huu mkopo wa hiki kiasi kwa gharama (interest) nafuu? Dhamana nayoweza kuweka ni kadi ya(za) gari au "offer" ya Kiwanja. Kurudisha ni baada ya mwaka mmoja.

Ahsanteni
 
nenda bayport ,,, ndani ya masaa 24 unavuta mkopo
 
Mhh 15ml.nenda kwnye mabank hasa barclay watakpa fasta ila interest zake za kibank mmmh?
 
Hamna bank isiyo na riba labda uende nchi za kiarabu-

na mtu ukikopa 15mil. interest zake lazma ifike mpaka 21mil.

amana bank hawana riba hata shilingi moja.. ukichukua.20mil. unalipa 20mil
 
Check na unicredit unaweka gari hata offer ya kiwanja, ni PM kama upo serious
 
Hao unicredit wanapokea offer peke yake na kufanya tathmini na kukupa mkopo??? Au lazima uwe na biashara nyingine??? Weka maelezo wazi kidogo
 
Jamani ukiwa na biashara tu Kama dhamana yako ni kampuni gani inaweza kukupa mkopo.
 
Waone UTT microfinance,ndio zao hasa na riba siyo juu kihivyo.
 
Je kama una kiwanja ila hauna biashara UNAWEZA kukopa hapo Amana bank @is. Weka maelezo vizuri Jamani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…