Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Wana jamii forums na wadau wa elimu, kwa heshima na taadhima ninawakaribisha katika chuo chetu cha The Arusha East African Training Institute (TAEATI).Tafadhali soma maelezo zaidi hapa chini bila kusahau kutembelea website yetu
www.arushaeati.com kwa maelezo na maelekezo zaidi,pia unaweza kuwasiliana nasi kwa mawasiliano mbalimbali yaliyoko mwisho.NAKARIBISHA PIA MAONI,USHAURI NA MASWALI.Karibuni
THE ARUSHA EAST AFRICAN TRAINING
INSTITUTE (TAEATI)
Chuo cha The Arusha East African Training Institute (TAEATI), chini ya usimamizi wa Baraza la Habari
Tanzania MCT, kinatangaza nafasi za masomo kwa mwaka 2013 kwa kozi zifuatazo:
*BASIC CERTIFICATE IN JOURNALISM & RADIO/ TV BROADCASTING
*BASIC CERTIFICATE IN AUDIO, VIDEO PRODUCTION & GRAPHIC DESIGNING
*CERTIFICATE IN JOURNALISM & RADIO/ TV BROADCASTING
*CERTIFICATE IN SALES & MARKETING
*CERTIFICATE IN PUBLIC RELATIONS AND ADVERTISING
*CERTIFICATE IN COMMUNITY DEVELOPMENT & ENTREPRENEURSHIP
*ADVANCED CERIFICATE IN JOURNALISM & RADIO/ TV BROADCASTING
*DIPLOMA IN JOURNALISM
*SHORT COURSES IN LANGUAGE: [ ENGLISH, FRENCH, SPANISH, KISWAHILI]
Kozi zote zitaanza katika mihula minne tofauti ,muhula wa Januari,muhula wa Aprili, muhula wa Julai na muhula wa
Novemba kwa mwaka 2013. Unaweza kutuma maombi kwa muhula wowote utakaochagua wakati wowote.
SIFA ZA MWOMBAJI
CERTIFICATE- Mwombaji awe amemaliza kidato cha NNE na kupata
angalau alama D na kuendelea.
DIPLOMA- Mwombaji awe amemaliza kidato cha SITA au awe na Cheti cha Kozi
ya Uandishi wa Habari
MAMBO MUHIMU
Chuo kinapokea wanafunzi kutoka vyuo vingine
Wanafunzi 10 bora watakaofaulu vizuri watatafutiwa ajira ya kudumu
Chuo kina studio ya Radio na TV ili kuwapika kwa vitendo Waandishi na Watangazaji wote kabla ya kuanza kazi
rasmi.
CHUO NA MAKAO MAKUU YA CHUO YAPO ARUSHA KATIKA JENGO LA DIPLOMAT MIANZINI
GOROFA YA 2 CHUMBA NAMBA 213 AU PIGA SIMU NO: 0753 810001, 0754 494316, 0766 810001, 0715 348782
AU WASILIANA NA MAWAKALA WETU KATIKA ENEO LAKO HUSIKA
Kwa maelezo zaidi tembelea website yetu:
www.arushaeati.com kwa maelezo na maelekezo zaidi,pia unaweza kuwasiliana nasi kwa mawasiliano mbalimbali yaliyoko mwisho.NAKARIBISHA PIA MAONI,USHAURI NA MASWALI.Karibuni
THE ARUSHA EAST AFRICAN TRAINING
INSTITUTE (TAEATI)
Chuo cha The Arusha East African Training Institute (TAEATI), chini ya usimamizi wa Baraza la Habari
Tanzania MCT, kinatangaza nafasi za masomo kwa mwaka 2013 kwa kozi zifuatazo:
*BASIC CERTIFICATE IN JOURNALISM & RADIO/ TV BROADCASTING
*BASIC CERTIFICATE IN AUDIO, VIDEO PRODUCTION & GRAPHIC DESIGNING
*CERTIFICATE IN JOURNALISM & RADIO/ TV BROADCASTING
*CERTIFICATE IN SALES & MARKETING
*CERTIFICATE IN PUBLIC RELATIONS AND ADVERTISING
*CERTIFICATE IN COMMUNITY DEVELOPMENT & ENTREPRENEURSHIP
*ADVANCED CERIFICATE IN JOURNALISM & RADIO/ TV BROADCASTING
*DIPLOMA IN JOURNALISM
*SHORT COURSES IN LANGUAGE: [ ENGLISH, FRENCH, SPANISH, KISWAHILI]
Kozi zote zitaanza katika mihula minne tofauti ,muhula wa Januari,muhula wa Aprili, muhula wa Julai na muhula wa
Novemba kwa mwaka 2013. Unaweza kutuma maombi kwa muhula wowote utakaochagua wakati wowote.
SIFA ZA MWOMBAJI
CERTIFICATE- Mwombaji awe amemaliza kidato cha NNE na kupata
angalau alama D na kuendelea.
DIPLOMA- Mwombaji awe amemaliza kidato cha SITA au awe na Cheti cha Kozi
ya Uandishi wa Habari
MAMBO MUHIMU
Chuo kinapokea wanafunzi kutoka vyuo vingine
Wanafunzi 10 bora watakaofaulu vizuri watatafutiwa ajira ya kudumu
Chuo kina studio ya Radio na TV ili kuwapika kwa vitendo Waandishi na Watangazaji wote kabla ya kuanza kazi
rasmi.
CHUO NA MAKAO MAKUU YA CHUO YAPO ARUSHA KATIKA JENGO LA DIPLOMAT MIANZINI
GOROFA YA 2 CHUMBA NAMBA 213 AU PIGA SIMU NO: 0753 810001, 0754 494316, 0766 810001, 0715 348782
AU WASILIANA NA MAWAKALA WETU KATIKA ENEO LAKO HUSIKA
Kwa maelezo zaidi tembelea website yetu:
www.arushaeati.com