Neema Akeyo alivyolipwa mshahara wake na NMB Plc baada ya kufukuzwa kazi kwa kutohudhuria kazini siku ya Jumamosi

Mambo ya imani bwana yako very complicated na ukiamua kuyaendekeza sana kuna siku yanaweza kukutokea puani.
 
Liked
 
Wakili wa Nmb kawaingiza Chaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo yatatuchelewesha sana Wa Africa yani, haswa Tanzania.
Huyo Mungu mwenyewe anatutaka tufanye Kazi.

Sasa huyu yeye anataka kuwa zaidi ya Yesu
 
Wale wazee wa blue Monday dini yenu muisajili tu na kuanza kuabudu jumatatu. Na imani yenu ikataze kufanya kazi siku ya jumatatu 🀣🀣🀣
 
Delay mechanism ya taasisi Vs Njaa ya mlalamikaji (2022-2014=8 years) bado gharama za mawakili.
Njaa au haki ya mlalamikaji? WaTz tunapuuzia kila kitu hata vya msingi, na hapo ndio wenye mamkaka wanatuibia haswa.
 
Njaa au haki ya mlalamikaji? WaTz tunapuuzia kila kitu hata vya msingi, na hapo ndio wenye mamkaka wanatuibia haswa.
Utaparangana miaka 8 kudai tumilioni twa mboga? Hapo umlipe Mwanasheria? Hapo Huna kazi
 
Ujinga tu, na wa Islam ijumaa nao waabudu
Mimi si Muislam lakini niliwahi kusikia kuwa dini yao inasema baada ya Swala Ijumaa watu wanaweza kurudi kwenye majukumu yao. All in all Waislamu huwa hawana complications hasa kwa mambo ambayo hayaoneshi kuutweza Uislamu
 
Kwaio mkuu vipi? Atalipwa mshahara hadi 2022? Kwa maana inaonekana hakulipwa kokote kule
 
Wasabato wana maisha magumu sana.

Nakumbuka nilikuwa nawatembelea ndugu zangu fulani wakati niko shule

Chakula kinapikwa ijumaa mchana kinaliwa hadi jumamosi jioni

Jumamosi hawapiki kitu mnakuoa kiporo na chai ya jana[emoji2]

Maisha yao ni magumu kwakweli
 
Kwa hiyo waislamu ijumaa nao waende masjid!
Waislam kila siku tuna abudu, maisha yote ya Muislam ni ibada. Mara tano kwa siku tunaenda Masjidkufanya ibada mojawa[po au zaidi na tunachapa kazi kama kawaida.

Ijumaa sio siku ya mapumziko kwa Waislaam, ni siku ya kukutana Jamaa. Ukitaka usitake Muislaam mwanamme mwenye uwezo wa kutembea unatakiwa uende msikiti wa karibu yako, ukajumuike na wengine na msali pamoja na Imam atoe hotuba (khutba) aelezee ya muhimu kwa jamii inayowazunguka na mkubushane mema na mkatazane mabya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…