Neema: Umasikini wa Tanzania wapungua kwa 19%

Neema: Umasikini wa Tanzania wapungua kwa 19%

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa hii njema imetolewa na serikali ya Tanzania

---
Mtendaji wa Tume ya Mipango Bw. Lawrence Mafuru amesema kuwa;

"Uchumi wetu umekuwa ukikua kwa wastani wa asilimi 6% kwa miaka 20 iliyopita, hiki kiwango cha ukuaji ukikiangalia ni kiwango kikubwa sana ukilinganisha na mataifa mengine hata mataifa makubwa yaliyoendelea kwahiyo unaona lengo letu halikuwa kukua kwa asilimia 6% tulitarajia tungweza kukua kwa asilimia 8% hivi na zaidi.

"Tumeweza pia kukua bila kutegemea sekta moja ya uchumi, nchi yetu ina sekta nyingi za uchumi ambazo ziko balanced kwahivyo hakuna namna ikitetereka sekta moja inaweza kuathiri uchumi kwa ujumla, tumejenga misingi imara kwenye uchumi mbalimbali ziko sekta zinazokua haraka na ambazo hazikui haraka na zinachangia."

Toa Maoni yako.
 
Sawa wamesema hivyo...... je ni kweli na ni umaskini upi wa mtu mmoja mmoja au wa nchi?
 
Taarifa hii njema imetolewa na serikali ya Tanzania

---
Mtendaji wa Tume ya Mipango Bw. Lawrence Mafuru amesema kuwa....

Uchumi wetu umekuwa ukikua kwa wastani wa asilimi 6% kwa miaka 20 iliyopita, hiki kiwango cha ukuaji ukikiangalia ni kiwango kikubwa sana ukilinganisha na mataifa mengine hata mataifa makubwa yaliyoendelea kwahiyo unaona lengo letu halikuwa kukua kwa asilimia 6% tulitarajia tungweza kukua kwa asilimia 8% hivi na zaidi"

"Tumeweza pia kukua bila kutegemea sekta moja ya uchumi, nchi yetu ina sekta nyingi za uchumi ambazo ziko balanced kwahivyo hakuna namna ikitetereka sekta moja inaweza kuathiri uchumi kwa ujumla, tumejenga misingi imara kwenye uchumi mbalimbali ziko sekta zinazokua haraka na ambazo hazikui haraka na zinachangia"
Toa Maoni yako .
Maoni yangu ni kwamba Machadema yatabisha.
 
Taarifa hii njema imetolewa na serikali ya Tanzania

---
Mtendaji wa Tume ya Mipango Bw. Lawrence Mafuru amesema kuwa....

Uchumi wetu umekuwa ukikua kwa wastani wa asilimi 6% kwa miaka 20 iliyopita, hiki kiwango cha ukuaji ukikiangalia ni kiwango kikubwa sana ukilinganisha na mataifa mengine hata mataifa makubwa yaliyoendelea kwahiyo unaona lengo letu halikuwa kukua kwa asilimia 6% tulitarajia tungweza kukua kwa asilimia 8% hivi na zaidi"

"Tumeweza pia kukua bila kutegemea sekta moja ya uchumi, nchi yetu ina sekta nyingi za uchumi ambazo ziko balanced kwahivyo hakuna namna ikitetereka sekta moja inaweza kuathiri uchumi kwa ujumla, tumejenga misingi imara kwenye uchumi mbalimbali ziko sekta zinazokua haraka na ambazo hazikui haraka na zinachangia"

Toa Maoni yako .
Mbona hatujai mapesa🤔.Lazima awepo mchawi wetu.
 
Mama anachapa kazi Sana ,Maisha mtaani yamechangamka sana ,biashara zimefunguka
 
Tukatae serikali ya CCM kwa nguvu zote , ewe mwana CCM, ni mda wa mabadiliko Sasa, uchumi upi unakuwa zaidi ya matumbo yao wale wa operation kataa ndoa Sasa tubadili mtazamo na kuikataa CCM tu
 
Back
Top Bottom