Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Unajua nini? laif bongo miyeyushoo,baada ya kusafa long taim nini hatimaye juzi asubuhi kitabu changu cha kijani wamekichafua pale ubalozini.sir God hamwachi mja wake..ci unajua? laif la hapa miyeyusho labda uwe na mchongo wa maana kama kina riz 1 ila mzee mzima ukiwa kachala kama mimi utapiga lapa daile.basi wana mimi nitawamegea life la mbele na mishemishe za huko .msikonde mazeiya.