Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Jf is in transition period frm Home of Great Thinkaz to hut of fools.....
and ya fool dud
nani mgeni wa safari????aaahh dogo jitahidi ukue looooland ya fool dud
wewe ndio unatakiwa ukue...cku hizi zama za dingi mnoko zimeisha..kama mwanao anakata kitabu achana na unoko.nani mgeni wa safari????aaahh dogo jitahidi ukue looool
Unajua nini? laif bongo miyeyushoo,baada ya kusafa long taim nini hatimaye juzi asubuhi kitabu changu cha kijani wamekichafua pale ubalozini.sir God hamwachi mja wake..ci unajua? laif la hapa miyeyusho labda uwe na mchongo wa maana kama kina riz 1 ila mzee mzima ukiwa kachala kama mimi utapiga lapa daile.basi wana mimi nitawamegea life la mbele na mishemishe za huko .msikonde mazeiya.
north americaWhere are u going?
US, Canada, or Mexico?north america
una mchongo wa kupiga box nini?US, Canada, or Mexico?
una mchongo wa kupiga box nini?
.
thannks)) im gonna stay for one year only. Then nitarudi home .I left US last year. I'm in Dar nowadaysGood luck!!
CCM oyeeeeeeeeUnajua nini? laif bongo miyeyushoo,baada ya kusafa long taim nini hatimaye juzi asubuhi kitabu changu cha kijani wamekichafua pale ubalozini.sir God hamwachi mja wake..ci unajua? laif la hapa miyeyusho labda uwe na mchongo wa maana kama kina riz 1 ila mzee mzima ukiwa kachala kama mimi utapiga lapa daile.basi wana mimi nitawamegea life la mbele na mishemishe za huko .msikonde mazeiya.
usihofu bibie nitakupm skype yangu ili tuendelee kuwa cloz....na nikirudi tu tunaenda kuishi benki