Nelson mandela african institute of science and technology

Nelson mandela african institute of science and technology

miaka miwili tu na idadi ndogo ya wanachuo ngoma ishaanza kuwazingua!, miaka ijayo na wanachuo wengi zaidi itakuwaje???
 
Habari wadau wa Jamii Forum, je hii ni haki wanafunzi wa chuo cha Nelson Mandela wa mwaka wa pili hawajapewa hela ya kufanyia research na chuo kinasema hakina hela za kuwapa wanafunzi kwa ajili ya research na hiki ni chuo kipya je tutafika kweli jamani? na wanasema lengo kuu la nelson mandela ni kuikwamua nchi yetu kwenye umaskini kwa kufanya utafiti na wanasema hakuna hela za kufanyia utafiti. Je ni kweli serikali haijaipa chuo cha nelson mandela hela za kufanyia utafiti kwa wanafunzi wa mwaka wa mwisho? wanasema wanataka ufanye publication kwenye international journal halafu wanasema hawana hela za kwenda kwenye mafunzo wala conferences sasa je wanafunzi watapublish vipi papers. kabla ya hapo walisema wanafunzi wa PhD watapewa milioni 37 na master milioni 12 na ghafla wanasema hawana hela sasa kwa nini walisema watawapa wanafunzi hela kumbe hamna hela na wanawazuia wanafunzi kutofanya utafiti? je tutafika kweli jamani tukiendelea hivi? wanafunzi waliambiwa waandike budget waliandika budget kutokana na tafiti zao lakini cha ajabu hizo budget zilipitishwa pamoja na proposal halafu baadae wanasema hizo budget hazifai wakati commetees zilipitisha hizo budget, je ni kwa nini walipitisha hizo proposal ambazo zilikuwa na budget? je tutafika kweli na tunawaandaa vipi viongozi wa kesho? na baadhi ya viongozi wa chuo wanasema hawawezi kuonana na wanafunzi wawasiliane kwa email tu je tutataua vipi matatizo ya kijamii kama hamtaki kukaa meza moja na wanafunzi? jamani tunaomba tubadilike kama kweli tunataka nchi yetu iendelee na kama tuna uchungu na nchi yetu
moja kati ya vyuo vilivyokua kwenye malengo yangu ya baadae ni hiki cha nelson mandela...nimesiktka sana kuona uozo huu!!! ila naimani ni kwa muda tu embu kuwa na subira na mjitahidi kuwasiliana na uongozi...poleni sana..
 
Habari wadau wa Jamii Forum, je hii ni haki wanafunzi wa chuo cha Nelson Mandela wa mwaka wa pili hawajapewa hela ya kufanyia research na chuo kinasema hakina hela za kuwapa wanafunzi kwa ajili ya research na hiki ni chuo kipya je tutafika kweli jamani? na wanasema lengo kuu la nelson mandela ni kuikwamua nchi yetu kwenye umaskini kwa kufanya utafiti na wanasema hakuna hela za kufanyia utafiti. Je ni kweli serikali haijaipa chuo cha nelson mandela hela za kufanyia utafiti kwa wanafunzi wa mwaka wa mwisho? wanasema wanataka ufanye publication kwenye international journal halafu wanasema hawana hela za kwenda kwenye mafunzo wala conferences sasa je wanafunzi watapublish vipi papers. kabla ya hapo walisema wanafunzi wa PhD watapewa milioni 37 na master milioni 12 na ghafla wanasema hawana hela sasa kwa nini walisema watawapa wanafunzi hela kumbe hamna hela na wanawazuia wanafunzi kutofanya utafiti? je tutafika kweli jamani tukiendelea hivi? wanafunzi waliambiwa waandike budget waliandika budget kutokana na tafiti zao lakini cha ajabu hizo budget zilipitishwa pamoja na proposal halafu baadae wanasema hizo budget hazifai wakati commetees zilipitisha hizo budget, je ni kwa nini walipitisha hizo proposal ambazo zilikuwa na budget? je tutafika kweli na tunawaandaa vipi viongozi wa kesho? na baadhi ya viongozi wa chuo wanasema hawawezi kuonana na wanafunzi wawasiliane kwa email tu je tutataua vipi matatizo ya kijamii kama hamtaki kukaa meza moja na wanafunzi? jamani tunaomba tubadilike kama kweli tunataka nchi yetu iendelee na kama tuna uchungu na nchi yetu


mpewe hizo fedha za research au msipewe mimi naona sawa tu engineering imesomwa takribani fifty years kwa nchi hii kwenye level ya university lakini hakuna ugunduzi wowote ule, hii ni biashara kichaa.

unless we switch from application based engineering to reverse engineering we will continue to have these useless end user-like engineers who are best when given user guide manuals.
 
Labda kwa Tanzania Engneering ina walakini. Viongozi wote watatu wa cho ni Engneers ila wanaendesha chuo kama mangwini.
 
Habari wadau wa Jamii Forum, je hii ni haki wanafunzi wa chuo cha Nelson Mandela wa mwaka wa pili hawajapewa hela ya kufanyia research na chuo kinasema hakina hela za kuwapa wanafunzi kwa ajili ya research na hiki ni chuo kipya je tutafika kweli jamani? na wanasema lengo kuu la nelson mandela ni kuikwamua nchi yetu kwenye umaskini kwa kufanya utafiti na wanasema hakuna hela za kufanyia utafiti. Je ni kweli serikali haijaipa chuo cha nelson mandela hela za kufanyia utafiti kwa wanafunzi wa mwaka wa mwisho? wanasema wanataka ufanye publication kwenye international journal halafu wanasema hawana hela za kwenda kwenye mafunzo wala conferences sasa je wanafunzi watapublish vipi papers. kabla ya hapo walisema wanafunzi wa PhD watapewa milioni 37 na master milioni 12 na ghafla wanasema hawana hela sasa kwa nini walisema watawapa wanafunzi hela kumbe hamna hela na wanawazuia wanafunzi kutofanya utafiti? je tutafika kweli jamani tukiendelea hivi? wanafunzi waliambiwa waandike budget waliandika budget kutokana na tafiti zao lakini cha ajabu hizo budget zilipitishwa pamoja na proposal halafu baadae wanasema hizo budget hazifai wakati commetees zilipitisha hizo budget, je ni kwa nini walipitisha hizo proposal ambazo zilikuwa na budget? je tutafika kweli na tunawaandaa vipi viongozi wa kesho? na baadhi ya viongozi wa chuo wanasema hawawezi kuonana na wanafunzi wawasiliane kwa email tu je tutataua vipi matatizo ya kijamii kama hamtaki kukaa meza moja na wanafunzi? jamani tunaomba tubadilike kama kweli tunataka nchi yetu iendelee na kama tuna uchungu na nchi yetu


Hapa siyo kwamba umezidisha? Tuwekee ushahidi.
 
Sijui nani alituloga hii nchi, nothing seems to move,yani vile nilikuwa na matumaini na hichi chuo kumbe na wao wameanza mambo yaleyale!
 
duh nilikuwa natamani sana kusoma kwenye hiki chuo but kwa mtindo huu nakata tamaa kabisa,naungana moja kwa
moja na StayReal " Sijui nani alituloga hii nchi, nothing seems to move".Huku ninaposoma walituahidi hela tangu mwezi wa tisa but zimeingia juz wa 11 mwishoni tena kwa magroup.
 
Sijui nani alituloga hii nchi, nothing seems to move,yani vile nilikuwa na matumaini na hichi chuo kumbe na wao wameanza mambo yaleyale!

pole engineer! Vipi utatoa mlo wa siku? Ha ha ha
 
Kuna umuhimu wa kuendelea kutawaliwa.ili watufunze cz inaonekana hatujakomaa kiasi cha kujiweza.mf,hatuna engineers wa kujenga lami?kama wapo wanafanya nini? Au ndo kusubiri waajiriwe ofcn.waite injinia wa jiji",manispaa.n.k.wachina wanaishi maporini kwny camp wanapiga kazi.sisi tupande V8,na tukague.jamani!! Sisi tunaweza ninii.eti na wasomi wetu wengn wanadhani kukufelisha makusudi chuoni eti ndo elimu bora"
 
Back
Top Bottom