Nembo ya Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam na maneno yaliyoko katika logo hiyo ni vitu vya kutazamwa upya kwani viko kisiasa zaidi kuliko kitaaluma

Hakuna mwanadamu anayezaliwa na hekima.Hata sulemani hakuzaliwa na hekima.Ndio maana hata Mungu kwenye biblia amesema wazi "mtu akipungukiwa na hekima na aombe" kwa hiyo hekima inapatikana baada ya kuzaliwa na wala si kuzaliwa nayo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
... na wala hekima haifundishwi darasani. Tuko pamoja.
 
Hapo ni jalalani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hizi nembo waasisi wake hawaweki maana zake kama kumbukumbu? Hiyo yako imekaa kidini sana
 
hakuna haja ya kubadili slogani Ya hekima ni uhuru.Ni kweli kuwa hekima haifundishwi popote lakin Hekima inapatikana kutokana na mambo mbalimbali kwa pamoja.Mojawapo ni elimu,malezi ya wazazi na jamii inayotuzunguka.Miaka ya 2010 kurudi nyuma chuo hiki kilikuwa mstari wa mbele kufanya hekima itamalaki.Lakini siasa za majitaka zikajitungia sheria za kuwabana wanaUDSM kuendesha tena ile midahalo ya wazi ambayo ilikuwa inachochea maarifa ndio maana hata serikali kwa kutambua hilo katika sh.Mia5 noti wakaweka ukumbi wa Nkurumah kutokana na hekima iliyokuwako pale.Watu walitoa maoni kwa uhuru kabisa.
Cha kufanya ni rais ajaye kurusisha tena midaharo vyuoni ili wajadili changamoto zinazoikabili nchi ili zipatiwe fumbuzi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna baadhi ya mambo tunahoji hayana logic yoyote.......anyway sisi WaTz ujuaji umezidi sana wakati hatujui
Kweli kabisa Mkuu, badala ya kuwaza jinsi ya kutengeneza kombola linalo pangua na kung'oa kabisa ma- Bomu ya Nuclear na wataam wote beba, peleka pasipo julikana. Ili

Tukapige hela ndefu huko Tel aviv.
lazima litakuwa na soko na tutaishi vizuri.yeye anawaza vitu vidoogo sana.

Haoni fursa huyu dogo. Vilaza watasema aaaaah! Iwezekani. Wakati yesu alisema, nothing impossible under the Sun.
 
Toba, nakimbilia ktk siasa wakati hoja nzima alikuwa anauliza siasa na taaluma naona uwezowenu wa kufikiri wewe na yeye na mawazo yenu na nia zenu ni moja sasa nitawasaidiaje mimi. Ndiyo maana nikasema hamtaishia hapo mtaende ktk bendera ya taifa mtataka irekebishwe, mtaenda katika ngao ya taifa mtataka irekebishwe,
Na si kama hatuwajui mwnge wa uhuru mmeupinga, kuamia dodoma mmepinga, ununuzi wa ndege mmepinga, elimu bure mmepinga ndiyo nikamalizia na Benjamini William Mkapa WAPUMBAFU na MALOFA ktk UBORA WAKE sasa ninatatizo gani mimi kukupiga kwa ulofa wenu.
 
Kudos!
I second u!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa hamna vitu vya kufanya vikawaletea maendeleo?? nembo ni nembo tu siyo mission na vission ya taasisi
 
wewe una tatizo gani?Mwenge ni moto ni mwanga,hekima ni uhuru.Nembo ya UDSM ina maana sana kuliko hio uliyoweka ya TUMA.Sema kwa sababu uelewa wako ni mdogo unataka upewe vitu laini.Sioni tatizo la nembo naona tatizo la uwezo wako wa kuelewa mambo
 
Watu hawaangalii movie,movie nyingi za wenzetu haswa za kiintelejensia wanatumia philosophy message kuweza kufanikisha mambo yao na kama utakuwa sio mtambuzi hutoelewa kabisa kama huyo jamaa asivyoweza kuelewa maneno yaliyoandikwa kny log hiyo. Binafsi nimekuelewa vizuri sana, watu wengine wanapenda kuleta mada kwa kusingizia ipo kisiasa kumbe wao ndio wanaleta usiasa huku.
 

Nyie wenye diploma wasumbufu sana

Kwa hiyo kww akili zako suleimani hakuwa na elimu na alikuwa kizazi cha royal family?

Tangu Musa anasoma shule, iwe suleiman? Au elimu yako wewe lazima iwe formal? Na kutoa degree???

Suleiman alifundishwa tamaduni, madawa, historia, uongozi, hesabu, ustaarabu, protocal n.k.......

Acha kuwaza kitoto
 
Wachache tutakuelewa ila wale wengine sidhani.
 
Ahsante mkuu.
Ni kwamba jamaa anajifanya hajui royal family walikuwa wanapewa elimu ya vitu vingi ili waweze kuwa na uwezo wa kutawala vizuri.
Hajui kwamba maarifa (knowledge) inayopatikana kwa kujifunza/kufunzwa humfanya msomaji awe na hekima za kufanya vitu sahihi.

Anasahu hekima humuwezesha mtu kujifunza vitu vingi bila kuathiriwa na hisia au itikadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…