Nembo ya Simba iboreshwe ina mapungufu

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
4,445
Reaction score
4,707
Mimi ni mpenzi wa Klabu ya Simba.Kwa kuwa klabu yetu inaendeshwa kibiashara na kisasa naushauri uongozi wa klabu kurekebisha Nembo ya klabu iwe ya Kimataifa.Mapungufu ya nembo hiyo ni pamoja na kutokuwa na jina ya Dar es salaam na Tanzania.
 
Vilabu vikubwa duniani uliwahi kuona Club ipi ina huo utitiri wa upuuzi?
 
Vilabu vikubwa duniani uliwahi kuona Club ipi ina huo utitiri wa upuuzi?
Kafeli huyu mkuu aangalie nembo za club zote duniani atakuta ni jna tu na football club (fc) au sport club (sc)
 
Mimi ni mpenzi wa Klabu ya Simba.Kwa kuwa klabu yetu inaendeshwa kibiashara na kisasa naushauri uongozi wa klabu kurekebisha Nembo ya klabu iwe ya Kimataifa.Mapungufu ya nembo hiyo ni pamoja na kutokuwa na jina ya Dar es salaam na Tanzania.
Jf ina watu wenye upeo finyu zaid ya ufinyu wenyewe.
 
We kamjamaa sijaona point yako.......mana sijawahi kuona nembo za vilabu zina majina ya nchi bhana
 
maboresho yanaweza anzishwa bila kuangalia wengine wanafanyaje japokuwa huo nao ni mtazamo wa mtoa mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…