Nembo ya Tanzanite iliyowekwa darajani ni ya mabati?

Nembo ya Tanzanite iliyowekwa darajani ni ya mabati?

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Nimepita mara kadhaa kwa mbali na kwa karibu ila hii nembo mpya ya madini ya Tanzanite iliyowekwa mbona sivyo nilivyotegemea kabisa.

Nilijua itatengenezwa hata kwa yale madini ya kioo flani ili jua likipiga hata inareflect au kushine kidogo ila badala yake iko so dull hadi nikajiuliza huenda imetengenezwa kwa mabati au material yale ya aluminium.

Kwa mfano wangeenda kariakoo wakanunua vihereni flani vinarangi ya Tanzanite na vinan'gaa halafu vinauzwa cheap sana mtu unaweza nunua hata gunia zima halafu ukaviunganisha vikawa vinashine vizuri.

Anyway mi sio mtaalamu wa haya mambo nimeongea mawazo yangu tu maana kiasi imenidissapoint.
 
Kwamba wametufanyia sapraizi kama Kingwa alivyotufanyia kwenye Sanamu la Mwl..
 
Nimepita mara kadhaa kwa mbali na kwa karibu ila hii nembo mpya ya madini ya Tanzanite iliyowekwa mbona sivyo nilivyotegemea kabisa. Nilijua itatengenezwa hata kwa yale madini ya kioo flani ili jua likipiga hata inareflect au kushine kidogo ila badala yake iko so dull hadi nikajiuliza huenda imetengenezwa kwa mabati au material yale ya aluminium. Kwa mfano wangeenda kariakoo wakanunua vihereni flani vinarangi ya Tanzanite na vinan'gaa afu vinauzwa cheap sana mtu unaweza nunua hata gunia zima afu ukaviunganisha vikawa vinashine vizuri. Anyway mi sio mtaalamu wa haya mambo nimeongea mawazo yangu tu maana kiasi imenidissapoint.
Unanikumbusha miaka flani ya nyuma wanajeshi wetu walioenda Congo kupigana dhidi m23 siku ya kurudi walikusanya mawe flani hivi mekundu yanayong'aa. Kila mmoja alibeba kama kilo wakidhani ni Ruby. Wakiwa kwenye ndege waliimba kwa furaha wakijua wametoka kimaisha watakuwa mabilionea. Walipofika bongo kwenda kuyauza wakaambiwa hayo madini gunia ni laki, walichoka.
 


Kama Ndiyo Hivyo Ujue Tumeliwa Sana

Wahuni Muda Huu Wanatucheka Huko
 
Bila picha sisi wa mikoani tunatambua kuna jiwe na tanzanite hapo darajani Stamford
 
Weka picha tafahdhali,
Nimepita mara kadhaa kwa mbali na kwa karibu ila hii nembo mpya ya madini ya Tanzanite iliyowekwa mbona sivyo nilivyotegemea kabisa. Nilijua itatengenezwa hata kwa yale madini ya kioo flani ili jua likipiga hata inareflect au kushine kidogo ila badala yake iko so dull hadi nikajiuliza huenda imetengenezwa kwa mabati au material yale ya aluminium. Kwa mfano wangeenda kariakoo wakanunua vihereni flani vinarangi ya Tanzanite na vinan'gaa afu vinauzwa cheap sana mtu unaweza nunua hata gunia zima afu ukaviunganisha vikawa vinashine vizuri. Anyway mi sio mtaalamu wa haya mambo nimeongea mawazo yangu tu maana kiasi imenidissapoint.
 
Back
Top Bottom