NEMC acheni kukamata kondoo walionona pekee

NEMC acheni kukamata kondoo walionona pekee

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Tangu NEMC ianze kamatakamata ya wachafuzi wa mazingira taarifa tunazopata ni ukamataji wa wenye baa, NEMC kunguru weusi na madereva wa bodaboda nao ni wachafuzi wa mazingira, hawa bodaboda pikipiki zao wamezifunga vifaa vya muziki ambavyo hutoa sauti kali sana kuliko hixo za baa.

Kuna baadhi ya mikoa imewazuia kuvitumia vifaa hivyo laki naona Dar hamuhangaiki nao labda kwa sababu mifuko yao haijanona na hao kunguru tunsjua hawana mwenyewe wa kumtoza faini, NEMC hebu safisheni na hao na wale wa vigodoro vya Uswazi, watupaji hovyo wa taka usiku na watiririshaji wa majitaka.
 
Una hoja, lakini ni bora angalau NEMC itambulike kama ipo.

Wenye bar wengi zinazosumbuwa watu kwa makelele hawaishi maeneo hayo, wanaishi maeneo tulivu kabisa.

Ukipita kwenye kanisa katoliki lolote ni vigumu kusikia kinachoendelea ndani wakati wa ibada mpaka uingie humo ndani, lakini sasa kuna makanisa ya manabii wa kisasa nayo hayana to fafauti na kelele za bar.

Unaweza kuvumilia kero tu ya waislamu kwa ile adhana ambayo hizi hata dakika tano, tunaweza kuvumiliana kwa hayo lakini siyo kusumbuwa wengine washindwe kulala.

Mimi ni mdau mkubwa sana wa Burudani na ninapenda vibe lakini wenye mabar sasa ni lazima waweke sound proof au kipimo cha muziki kisichozidi DB 40 kwa usiku.

Turudi kwenye mstari.
 
Namba za hao jamaa wa NEMC nawapataje? Kuna mpuuzi mmoja anafuga kuku wa mayai ana eneo kubwa sana,sasa usiku anatapisha hayo maji ya vinyesi barabarani, eneo lote linanuka kama chemba za vyoo! wanaachi tumelamika wewe tumeshindwa jamaa anahonga mbaya.
 
Una hoja, lakini ni bora angalau NEMC itambulike kama ipo.

Wenye bar wengi zinazosumbuwa watu kwa makelele hawaishi maeneo hayo, wanaishi maeneo tulivu kabisa.

Ukipita kwenye kanisa katoliki lolote ni vigumu kusikia kinachoendelea ndani wakati wa ibada mpaka uingie humo ndani, lakini sasa kuna makanisa ya manabii wa kisasa nayo hayana to fafauti na kelele za bar.

Unaweza kuvumilia kero tu ya waislamu kwa ile adhana ambayo hizi hata dakika tano, tunaweza kuvumiliana kwa hayo lakini siyo kusumbuwa wengine washindwe kulala.

Mimi ni mdau mkubwa sana wa Burudani na ninapenda vibe lakini wenye mabar sasa ni lazima waweke sound proof au kipimo cha muziki kisichozidi DB 40 kwa usiku.

Turudi kwenye mstari.
Na haya makanisa sijui ministry za manabii kwanini wasiige RC ibada zao Huwa hazina kelele kabisa na husikii na Mimi naona hyo ndio ibada Sasa haya ya manabii ni kelele kama vichaa
 
Namba za hao jamaa wa NEMC nawapataje? Kuna mpuuzi mmoja anafuga kuku wa mayai ana eneo kubwa sana,sasa usiku anatapisha hayo maji ya vinyesi barabarani, eneo lote linanuka kama chemba za vyoo! wanaachi tumelamika wewe tumeshindwa jamaa anahonga mbaya.
Nakutumia inbox namba ya Deputy DG wa NEMC utafurahi show yake, ila make sure siyo taarifa ya majungu au chuki binafsi.
 
Namba za hao jamaa wa NEMC nawapataje? Kuna mpuuzi mmoja anafuga kuku wa mayai ana eneo kubwa sana,sasa usiku anatapisha hayo maji ya vinyesi barabarani, eneo lote linanuka kama chemba za vyoo! wanaachi tumelamika wewe tumeshindwa jamaa anahonga mbaya.
Wewe hiyo ni fursa, ningekuwa mimi naishi hapo bei ya gesi nisingeijua kwani ningepata gesi ya bure.
 
"Yani tufanye kazi ya kukamata wakojoaji hovyo na watupa taka usiku?No way ,sisi tutakamata high profile tu ndio wanaoweza lipa faini .Wenu NEMC
Faini milioni 5 siyo, mtaua biashara za watu, biashara yenyewe ya baa imekuwa ya kudunduliza wanywaji wamepungua maana vyuma vimeendelea kukaza ndo maana kuna maeneo mengi baa zimefungwa kwa kushindwa kuendelea.​
 
Back
Top Bottom