NEMC iangazieni kwa Tunza lodge Mwanza haraka (noise pollution)

NEMC iangazieni kwa Tunza lodge Mwanza haraka (noise pollution)

hsnaturalfertility

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2022
Posts
399
Reaction score
992
Wananchi wa Ilemela Mwanza tuna taabu kubwa, hapa naandika hii thread ni saa sita usiku, hawa Kwa Tunza lodge wanapiga muziki sauti ya juu sana hakuna kulala. Tena leo wamemualika DJ AllyB kila saa "Nasemaje", yaani tunasubiri alfajiri wakimaliza labda ndio tutalala.

Huyu Salum mmiliki wa Kwa Tunza anatoa wapi jeuri ya kudharau maagizo ya NEMC? Yeye ni nani? Yuko juu ya sheria? Naomba NEMC mtembelee hapo mahali maana hata lodge yake kaijenga ziwani kabisa, hakuna usalama kwa wateja. Ila anzeni na hilo la sauti kwanza.

Ikishindikana NEMC kulifanyia hili kazi tutaenda mamlaka za juu kabisa, haiwezekani tuteseke kwenye nyumba zetu tulizozijenga kwa taabu sana.
 
Poleni kwa mikelele hiyo, mi mwenyewe sipend mikelele na keleka kweli hapa nilipo mikelele nako, natamani hata kuuza hapa Ila haiwezekani.
 
Pole sana mkuu,, kifupi nchi imekua na maamuzi ya kukurupuka tu kwa muda baadae hali inarejea kuwa ile ile mfano angalia masoko ya Buhongwa na Igoma watu wamerudi kufanyia biashara barabarani badala ya masoko rasmi yaliyopo na hakuna anayejali,,
 
Pole sana mkuu,, kifupi nchi imekua na maamuzi ya kukurupuka tu kwa muda baadae hali inarejea kuwa ile ile mfano angalia masoko ya Buhongwa na Igoma watu wamerudi kufanyia biashara barabarani badala ya masoko rasmi yaliyopo na hakuna anayejali,,
Ila kelele zinaumiza kwa kweli sehemu nyingine unakuta kuna makanisa yanasali usiku maspika makubwa kwingine disko vumbi duuu hii nchi kuishi tabu maisha magumu alafu usingizi unaupata kwa shida yani hii nchi km pango la wanyanganyi hakuna utaratibu ni vurugu tu kila kona
 
Mkuu poleni sana, nahis kama umechanganya NI LOUNGE au ni LODGE.

Ila kelele zinaumiza kwa kweli sehemu nyingine unakuta kuna makanisa yanasali usiku maspika makubwa kwingine disko vumbi duuu hii nchi kuishi tabu maisha magumu alafu usingizi unaupata kwa shida yani hii nchi km pango la wanyanganyi hakuna utaratibu ni vurugu tu kila kona
Hata wanafunzi hawawezi kujisomea, ni taabu juu ya taabu
 
Pole sana mkuu,, kifupi nchi imekua na maamuzi ya kukurupuka tu kwa muda baadae hali inarejea kuwa ile ile mfano angalia masoko ya Buhongwa na Igoma watu wamerudi kufanyia biashara barabarani badala ya masoko rasmi yaliyopo na hakuna anayejali,,
Kote wamerudi, dampo, lumumba, makoroboi yaani kila mahali. Nadhani tunajipanga na uchaguzi 2025
 
Umeambiwa kama hautaki kelele nenda kaishi Dodoma..Miji ya Dar es salaam na Mwanza ni Miji ya biashara.
Kwa kukumbusha tu agizo na mkuu wa mkoa wa Mwanza NEMC hairusiwi kufunga biashara ya bar Kwa sababu ya kelele.
Zaidi hapo kuanzia tarehe 01.07.2023 hakuna taasisi yoyote ya serikali inayoruhisiwa kufunga biashara ya mtu Kwa sababu yoyote Ile.
Ushauri inabidi huwe mvumilivu tu hakuna namna au hamia nje ya mji huku hakuna kelele kabisa..
Wewe unatafuta pesa mchana mwenzako anatafuta pesa usiku..Maisha ndivyo yalivyo..
 
Wananchi wa Ilemela Mwanza tuna taabu kubwa, hapa naandika hii thread ni saa sita usiku, hawa Kwa Tunza lodge wanapiga muziki sauti ya juu sana hakuna kulala. Tena leo wamemualika DJ AllyB kila saa "Nasemaje", yaani tunasubiri alfajiri wakimaliza labda ndio tutalala.

Huyu Salum mmiliki wa Kwa Tunza anatoa wapi jeuri ya kudharau maagizo ya NEMC? Yeye ni nani? Yuko juu ya sheria? Naomba NEMC mtembelee hapo mahali maana hata lodge yake kaijenga ziwani kabisa, hakuna usalama kwa wateja. Ila anzeni na hilo la sauti kwanza.

Ikishindikana NEMC kulifanyia hili kazi tutaenda mamlaka za juu kabisa, haiwezekani tuteseke kwenye nyumba zetu tulizozijenga kwa taabu sana.

Nasemaje[emoji41]
 
Wananchi wa Ilemela Mwanza tuna taabu kubwa, hapa naandika hii thread ni saa sita usiku, hawa Kwa Tunza lodge wanapiga muziki sauti ya juu sana hakuna kulala. Tena leo wamemualika DJ AllyB kila saa "Nasemaje", yaani tunasubiri alfajiri wakimaliza labda ndio tutalala.

Huyu Salum mmiliki wa Kwa Tunza anatoa wapi jeuri ya kudharau maagizo ya NEMC? Yeye ni nani? Yuko juu ya sheria? Naomba NEMC mtembelee hapo mahali maana hata lodge yake kaijenga ziwani kabisa, hakuna usalama kwa wateja. Ila anzeni na hilo la sauti kwanza.

Ikishindikana NEMC kulifanyia hili kazi tutaenda mamlaka za juu kabisa, haiwezekani tuteseke kwenye nyumba zetu tulizozijenga kwa taabu sana.
Nikadhan NEMC wakizngua mtachukua hatua wenyewe kumbe mnataka muende mamlaka za juu tena kufanyaje
 
Sema Tunza imebadilika sana, nilikuwa naenda kule enzi zile miaka ya 2008 - 2011 pale na mamba beach, nimeenda mwezi jana tena aisee pazuri sana, amepaboresha sana jamaa
 
Sema Tunza imebadilika sana, nilikuwa naenda kule enzi zile miaka ya 2008 - 2011 pale na mamba beach, nimeenda mwezi jana tena aisee pazuri sana, amepaboresha sana jamaa

Hata jamaa mtoa maada anasema ni pazuri sana na hua anaenda kuenjoy tatizo lao ni kelele nyingi tu
 
Kiukweli hizi kelele ukitaka ujue shida zake uwe umechoka,kuna siku nilikuwa Double tree au Boma maeneo nafikiri ya meco na Buzuruga,nikagonga sana vyombo mpaka saa nane usiku au tisa,nikatafuta room karibu na palepale nikalala,kwakuwa sikuwa na kazi yoyote na sina mke wala familia huku nikalipia tena chumba palepale na kulala,daaaah ile lodge imepakana na hiyo Double tree au Boma mziki ulianza asubuhi,hadi asubuh tena[emoji23] nikamuuliza yule muhudumu hivi hapa wanaishije akasema wakazi wa hapa washalalamika ila hakuna wa kuwasikiliza,
 
Wananchi wa Ilemela Mwanza tuna taabu kubwa, hapa naandika hii thread ni saa sita usiku, hawa Kwa Tunza lodge wanapiga muziki sauti ya juu sana hakuna kulala. Tena leo wamemualika DJ AllyB kila saa "Nasemaje", yaani tunasubiri alfajiri wakimaliza labda ndio tutalala.

Huyu Salum mmiliki wa Kwa Tunza anatoa wapi jeuri ya kudharau maagizo ya NEMC? Yeye ni nani? Yuko juu ya sheria? Naomba NEMC mtembelee hapo mahali maana hata lodge yake kaijenga ziwani kabisa, hakuna usalama kwa wateja. Ila anzeni na hilo la sauti kwanza.

Ikishindikana NEMC kulifanyia hili kazi tutaenda mamlaka za juu kabisa, haiwezekani tuteseke kwenye nyumba zetu tulizozijenga kwa taabu sana.
🤨🤨
 
Umeambiwa kama hautaki kelele nenda kaishi Dodoma..Miji ya Dar es salaam na Mwanza ni Miji ya biashara.
Kwa kukumbusha tu agizo na mkuu wa mkoa wa Mwanza NEMC hairusiwi kufunga biashara ya bar Kwa sababu ya kelele.
Zaidi hapo kuanzia tarehe 01.07.2023 hakuna taasisi yoyote ya serikali inayoruhisiwa kufunga biashara ya mtu Kwa sababu yoyote Ile.
Ushauri inabidi huwe mvumilivu tu hakuna namna au hamia nje ya mji huku hakuna kelele kabisa..
Wewe unatafuta pesa mchana mwenzako anatafuta pesa usiku..Maisha ndivyo yalivyo..
Nilidhani nikiishi huku ufukweni nitapata utulivu, kumbe majanga. Kuna ingine pia inaitwa MAMBOLEO beach , hawa ndio sidhani hata kama wana leseni ya kuendesha ukumbi. Na sherehe zao ni za nje.

So kwa kifupi hamna mamlaka inayoweza kuregulate hawa watu?
 
Back
Top Bottom