hsnaturalfertility JF-Expert Member Joined May 14, 2022 Posts 399 Reaction score 992 Jun 25, 2023 Thread starter #21 Son Of Andrew said: Nikadhan NEMC wakizngua mtachukua hatua wenyewe kumbe mnataka muende mamlaka za juu tena kufanyaje Click to expand... Yeah mamlaka za juu ndio hizi za wananzengo, maana wananzengo tumeshakaa na tumepanga letu jambo tutalitelekeza hivi karibuni
Son Of Andrew said: Nikadhan NEMC wakizngua mtachukua hatua wenyewe kumbe mnataka muende mamlaka za juu tena kufanyaje Click to expand... Yeah mamlaka za juu ndio hizi za wananzengo, maana wananzengo tumeshakaa na tumepanga letu jambo tutalitelekeza hivi karibuni
My Honest Book JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 1,363 Reaction score 2,161 Jun 26, 2023 #22 hsnaturalfertility said: Yeah mamlaka za juu ndio hizi za wananzengo, maana wananzengo tumeshakaa na tumepanga letu jambo tutalitelekeza hivi karibuni Click to expand... Kila lenye heri na mafanikio kwenu wakuu
hsnaturalfertility said: Yeah mamlaka za juu ndio hizi za wananzengo, maana wananzengo tumeshakaa na tumepanga letu jambo tutalitelekeza hivi karibuni Click to expand... Kila lenye heri na mafanikio kwenu wakuu
N Nangu Nyau JF-Expert Member Joined Jul 1, 2022 Posts 5,015 Reaction score 14,139 Jun 26, 2023 #23 Chukueni hatua. Yaani wananchi lukuki mtaa mzima mnashindwa kumchukulia hatua mmiliki mnasubiri NEMC ambayo haina meno. Watanzania tutakapojifunza kuchukua hatua ndio siku pia serikali itaanza kusimamia sheria na kusikiliza wananchi.
Chukueni hatua. Yaani wananchi lukuki mtaa mzima mnashindwa kumchukulia hatua mmiliki mnasubiri NEMC ambayo haina meno. Watanzania tutakapojifunza kuchukua hatua ndio siku pia serikali itaanza kusimamia sheria na kusikiliza wananchi.
jamii01 JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 1,983 Reaction score 1,423 Jun 26, 2023 #24 unamchukuliaje hatua wakati haujamsaidia mtu kufanya uwekezaji? au unadhani ni grocery hiyo? uwekezaji kama ule serikali inaulinda kuliko unavyofikiri..
unamchukuliaje hatua wakati haujamsaidia mtu kufanya uwekezaji? au unadhani ni grocery hiyo? uwekezaji kama ule serikali inaulinda kuliko unavyofikiri..