NEMC Ikiwapendeza Fanyeni Kama Traffic Police

NEMC Ikiwapendeza Fanyeni Kama Traffic Police

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Kiukweli hali imekuwa mbaya sana mtaani, vyombo vya entertainment majumbani na sehemu za starehe vinazidi kuongezeka kwa kasi na sasa imefikia familia na wenye bar pamoja na makanisa wananunua maspika makubwa yanayotakiwa kufungwa kwenye kumbi za muziki yanawekwa majumbani na kwenye sehemu za starehe bila kuzingatia kuwa ni makazi ya watu na kuzisababishia familia nyingi usumbufu.

Napendekeza kama ikiwapendeza NEMC, maafisa wenu walioko kwenye miji wanunuliwe sound meters ambazo watafanya nazo doria kimyakimya na kusoma miziki inayozidi viwango na kuwatoza fine wahusika.

Hii itasaidia kukomesha tabia ya watu kupiga miziki na kuchafua mazingira kadhalika itaongeza mapato kwa serikali kama wanavyofanya askari wa usalama barabarani wanapowakamata madereva wazembe.
 
Kiukweli hali imekuwa mbaya sana mtaani, vyombo vya entertainment maumbani na sehemu za starehe vinazidi kuongezeka kwa kasi...
Naunga mkono hoja kwa 100%

Kama kuna taasisi iliyozubaa zaidi hapa Tanzania, inayotumia pesa za serikali bure kabisa huenda NEMC ikawa kinara.

Ningekuwa mimi ndio rais, sasa hivi ningetangaza kuifuta NEMC na hiyo kazi ningewapa hata matrafiki waifanye.
 
Kwanza hao NEMC wamelala sana, halafu wenzao COSOTA nao wanatakiwa kukusanya mapato kutokana na miziki ya wasanii wetu kupigwa kwenye Bar na Kumbi za starehe yaani cosota wakikusanya 3000 kwa glocery na 10000 kwa bar kama kitambaa cheupe sasa ifanyike kwa wiki tanzania nzima hapo ni hadi glocery za mitaani huko, kikubwa uwe una redio na wanakusajili kwa mwaka wasanii watapata gawio lao kubwa na lakutosha
 
Kiukweli hali imekuwa mbaya sana mtaani, vyombo vya entertainment majumbani na sehemu za starehe vinazidi kuongezeka kwa kasi na sasa imefikia familia na wenye bar pamoja na makanisa wananunua maspika makubwa yanayotakiwa kufungwa kwenye kumbi za muziki yanawekwa majumbani na kwenye sehemu za starehe bila kuzingatia kuwa ni makazi ya watu na kuzisababishia familia nyingi usumbufu.

Napendekeza kama ikiwapendeza NEMC, maafisa wenu walioko kwenye miji wanunuliwe sound meters ambazo watafanya nazo doria kimyakimya na kusoma miziki inayozidi viwango na kuwatoza fine wahusika.

Hii itasaidia kukomesha tabia ya watu kupiga miziki na kuchafua mazingira kadhalika itaongeza mapato kwa serikali kama wanavyofanya askari wa usalama barabarani wanapowakamata madereva wazembe.

tena nawaomba NEMC washughulike na hawa watu kwenye maduka wanaotumia spika masaa 24 kuita wateja ni kero mitaani kelele, na bodaboda wanaofunga spika kwa sauti tusaidieni, mbona wahindi wanafanya biashara hawatumii maspika waswahili tuna kwama wapi?
 
tena nawaomba NEMC washughulike na hawa watu kwenye maduka wanaotumia spika masaa 24 kuita wateja ni kero mitaani kelele, na bodaboda wanaofunga spika kwa sauti tusaidieni, mbona wahindi wanafanya biashara hawatumii maspika waswahili tuna kwama wapi?
👍
🙏
 
Kwanza hao NEMC wamelala sana, halafu wenzao COSOTA nao wanatakiwa kukusanya mapato kutokana na miziki ya wasanii wetu kupigwa kwenye Bar na Kumbi za starehe yaani cosota wakikusanya 3000 kwa glocery na 10000 kwa bar kama kitambaa cheupe sasa ifanyike kwa wiki tanzania nzima hapo ni hadi glocery za mitaani huko, kikubwa uwe una redio na wanakusajili kwa mwaka wasanii watapata gawio lao kubwa na lakutosha
Wapimiwe hizo db 8 wasizidi hapo
 
NEMC na TCRA baba yao ni mmoja! Utapiga kelele weeeh!! Utekelezaji 0!
 
Sheria na kanuni zipo, utekelezaji wake unategemeana na awamu iliyopo madarakani
 
Kama walitoa vibali vya kumbi za starehe kujengwa kwenye makazi ya watu, nani anapaswa kupewa hizi lawama???

Nashauri mziki upigwe sana ili mamlaka ziwajibike kupanga maeneo yaliyombali na makazi kwajili ya starehe na ibada
 
Back
Top Bottom