Kwa kipindi cha hivi karibuni kwenye maeneo mbalimbali nchini hususani ndani ya Jiji la Dar es salaam kumekuwepo na wimbi kubwa la kuenea kwa taka za chupa za plastiki za rangi hasa zinazotokana na vinywaji vya 'Energy drink' hali ambayo inaendelea kushamiri zaidi. Katika uchunguzi wangu ambao...