NEMC, Kelele za Bodaboda zina sauti kubwa kuliko hata Baa

NEMC, Kelele za Bodaboda zina sauti kubwa kuliko hata Baa

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
NEMC wamekazana kukamata wenye baa kwa sababu huko kumenona, bodaboda nyingi zina muziki wenye sauti kali sana ya juu ambayo huumiza masikio.

Pamoja na kutokunona lakini itakuwa jambo jema kukomesha kelele hizo.
 
NEMC wamekazana kukamata wenye baa kwa sababu huko kumenona, bodaboda nyingi zina muziki wenye sauti kali sana ya juu ambayo huumiza masikio. Pamoja na kutokunona lakini itakuwa jambo jema kukomesha kelele hizo.
Mods rekebisheni kichwa kisomeke "BODABODA".
 
NEMC wamekazana kukamata wenye baa kwa sababu huko kumenona, bodaboda nyingi zina muziki wenye sauti kali sana ya juu ambayo huumiza masikio. Pamoja na kutokunona lakini itakuwa jambo jema kukomesha kelele hizo.
Na zile pa! Pa! Yaani stop break zao hawa mbwa! Hapa Arusha kuna bibi alizimia barabarani aisee! Wanakula cha Arusha Sana!
 
NEMC wamekazana kukamata wenye baa kwa sababu huko kumenona, bodaboda nyingi zina muziki wenye sauti kali sana ya juu ambayo huumiza masikio. Pamoja na kutokunona lakini itakuwa jambo jema kukomesha kelele hizo.
Yenye impacts kubwa ni nini?
Boda boda anayepita zake na sauti hizo au bar au ukumbi au kanisa liko pale pale likiwapigia kelele watu wale kwa DB zaidi ya 60.tena kwa msisitizo ulele kwa zaidi ya masaa 6!
 
Yenye impacts kubwa ni nini?
Boda boda anayepita zake na sauti hizo au bar au ukumbi au kanisa liko pale pale likiwapigia kelele watu wale kwa DB zaidi ya 60.tena kwa msisitizo ulele kwa zaidi ya masaa 6!
Sauti ya juu kali ya bodaboda inaweza kupasua sikio lako ndani ya nusu sekunde.
 
Kwani BAR inatembea kama bodaboda au imesimama na kelele zake?
Asante
 
NEMC wamekazana kukamata wenye baa kwa sababu huko kumenona, bodaboda nyingi zina muziki wenye sauti kali sana ya juu ambayo huumiza masikio. Pamoja na kutokunona lakini itakuwa jambo jema kukomesha kelele hizo.
Muheshimiwa wazir naomba hili nalo mkaliangalie
 
mmm! Si kweli bhana.
Bila ya kukwaza kwa makusudi.....naona niungane nawe kwa mtazamo wako.

Inaweza kuwa kweli kama Bodaboda hizo hukaa eneo moja kama baa zilivyo na kupiga makelele za muziki .
Ukweli...
Bodaboda huwa zinapita, na kufanya makelele hayo kuwa ni ya muda mfupi tu ukilinganisha na Baa zilizo sehemu ya makazi ya watu ambazo ni wakati wote baa huwa zimefunguliwa.
Ukweli....
Ikiwa makazi yapo karibu na barabara au Bodaboda zinafikia maeneo ya makazi na makelele hayo.
Hatahivyo....
Suala la watu kujenga makazi karibu na barabara yakikoma- na ikiwa kuwa hilo haliwezekani kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika, basi wajenge kuta za kudeflect mirindimo ya magari, pikipiki (bodaboda), n.k Vilevile ikiwa Pikipiki zenye miziki zikifika maeneo ya makazi basi wahakikishe wanazima au kupunguza sauti za miziki yao.




Kama ni kweli ni sauti ya muziki wa Bodaboda na wakati huo huo Bodaboda imetumika hapa kama ikimaanisha pikipiki, basi Pikipiki zote zenye sauti ya muziki munene zikomeshwe...ila kama inamaanisha Bodaboda kana Wafanyabiashara wanaotumia pikipiki, basi kuna uwalakini kuhusu kutumia suala la makelele ya Baa kuuzima na kudumuza Biashara-i.e ya Bodaboda.

Kwa namna moja au nyingine utaona hapa ndipo muingiliano wa hoja za kuwa na 'uhuru na haki ya kuongea' dhidi ya 'haki ya kuwa na faraga' na yale ya 'Umasikini wa kufukuza upepo' Kwa mtazamo wangu

Suala la Muziki au makelele ya Baa yasitumike sambamba na masuala ya kutaka kuzima biashara za wanaojiajiri ili kuwapa watu wenye mitaji mikubwa kukwapua soko la usafirishaji watu mjini.
yaani A monopoly.

Kwa namna moja au nyingine watumie masuluhisho bila ya kuwa na athari na madhara hasi kwa Wafanyabiashara walio na mitaji midogo. Tusipeane Umasikini kwa madai ya Kufukuza Umasikini


🙄
 
Ofcoz inarelate, but kwa upande wa bar inakuwa ni too much asee,, hawa watu wana vurugu sana.
 
Bila ya kukwaza kwa makusudi.....naona niungane nawe kwa mtazamo wako.

Inaweza kuwa kweli kama Bodaboda hizo hukaa eneo moja kama baa zilivyo na kupiga makelele za muziki .
Ukweli...
Bodaboda huwa zinapita, na kufanya makelele hayo kuwa ni ya muda mfupi tu ukilinganisha na Baa zilizo sehemu ya makazi ya watu ambazo ni wakati wote baa huwa zimefunguliwa.
Ukweli....
Ikiwa makazi yapo karibu na barabara au Bodaboda zinafikia maeneo ya makazi na makelele hayo.
Hatahivyo....
Suala la watu kujenga makazi karibu na barabara yakikoma- na ikiwa kuwa hilo haliwezekani kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika, basi wajenge kuta za kudeflect mirindimo ya magari, pikipiki (bodaboda), n.k Vilevile ikiwa Pikipiki zenye miziki zikifika maeneo ya makazi basi wahakikishe wanazima au kupunguza sauti za miziki yao.




Kama ni kweli ni sauti ya muziki wa Bodaboda na wakati huo huo Bodaboda imetumika hapa kama ikimaanisha pikipiki, basi Pikipiki zote zenye sauti ya muziki munene zikomeshwe...ila kama inamaanisha Bodaboda kana Wafanyabiashara wanaotumia pikipiki, basi kuna uwalakini kuhusu kutumia suala la makelele ya Baa kuuzima na kudumuza Biashara-i.e ya Bodaboda.

Kwa namna moja au nyingine utaona hapa ndipo muingiliano wa hoja za kuwa na 'uhuru na haki ya kuongea' dhidi ya 'haki ya kuwa na faraga' na yale ya 'Umasikini wa kufukuza upepo' Kwa mtazamo wangu

Suala la Muziki au makelele ya Baa yasitumike sambamba na masuala ya kutaka kuzima biashara za wanaojiajiri ili kuwapa watu wenye mitaji mikubwa kukwapua soko la usafirishaji watu mjini.
yaani A monopoly.

Kwa namna moja au nyingine watumie masuluhisho bila ya kuwa na athari na madhara hasi kwa Wafanyabiashara walio na mitaji midogo. Tusipeane Umasikini kwa madai ya Kufukuza Umasikini


🙄
Tusemapo bodaboda ni pikipiki zote, kwa watu wanaoishi au wanaotmia njia zinazotumiwa sana na bodaboda hizo wanazijua kero isipokuwa kwa wale wa maghorofani na Ostabei ni geni.
 
Tanzania kelele ni nyingi mno

Hata huko maofisini nemc nao wapite maana Kuna watu wanageuza ofisi vijiwe vya kupigia soga.

Kuna mgeni mmoja aliwahi kuniuliza kama Huwa tunapata muda wa kutafakari maana kila mahali ni makelele.
 
Kelele na mirindimo ya Bar inavumilika kuliko Kelele zinazotengenezwa na upangaji na upakiaji wa makontena kwenye Sehemu za kuweka makasha (Contena) maarufu kama Dry Ports zinazoongezeka kila kukicha katika makazi ya watu katika wilaya za Temeke, Kigamboni na Ilala
 
Back
Top Bottom