NEMC kufanya msako wa wanaopiga kelele nyakati za usiku kwa kiwango kilichozidi Desibeli 40

Haiwezekani yani mlio wa mvua uwe kimya kuliko friji ya Samsung kuna walakini😅😅😅 katika hili bandiko lako wakati mvua ikinyesha hata TV haiskiki vizuri bila kuongeza sauti yake!
Inategemeana na hayo matone ya mvua yanafikia katika surface gani. Kama ni bati za kawaida na ndani No Gypsum Ceiling Board mirindimo na mitetemo ya sauti haikwepeke na Sound production yake itakuwa ni beat after beat.
Lakini mvua hiyo hiyo ikifall kwenye surface ya kigae sound production yake itakuwa ndogo ukilinganisha na kwenye bati.
The same na kwenye friji uenda fridge compressor yako ina matatizo au unaipa fridge mzigo mkubwa ukilinganisha na uwezo wa compressor yake hapo unakuwa umeioverload.
 
Barabara ina bar
Ukianzia dagaa dagaa,kona pub,sportslounge,Ibungu,TTG,Perfect etc

Ngoja tuone kama kweli. Kabla hawajafika huko kuna sehemu zipo karibu na ofisi zao wangefuatilia kwanza. i.e Lile gorofa pale victoria au TIPs kule karibu na Migombani
 
Wana paswa waseme ukitoa taarifa utapata kifuta jasho ....
 
Ni vizuri kujua kwamba nilikuwa sahihi.
Ni kupoteza muda tu na mikwala isiyo na msingi.
 
Waanze na misikiti na makanisa.....watu wamelala usiku wa manane, saa kumi kasorobo mtu unaamshwa eti uende kuswali msikitini kwa sababu swala ni muhimu kuliko usingizi. Seriously, what kind of bullshit is this? Kila mwanadamu inabidi alale ili apate nguvu ya kufanya kazi zake na kulitumikia taifa. Au mke wa mtu anaacha familia yake nyumbani kwenda kupiga kelele kanisani usiku mzima, mwisho wa siku anazaa mtoto anayefanana na mchungaji wake.
 
Kama akina zumaridi kwenye ubora wao
 
Mwaka jana nilienda Arusha aisee nilipofikia sikuwa nalala hayo makelele ya makanisa.Ni usiku kucha,siku 7 za juma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…