NEMC wameona kinachoendelea

NEMC wameona kinachoendelea

Songambele

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2007
Posts
4,710
Reaction score
2,587
Misiba na kunji la wafanyabiashara kariakoo limepooza ile jamba jamba iliyoletwa na NEMC wiki iliyopita. Kama ilivyoada na desturi sie great thinkers lazima tupate muda wa kudurusu zilizo kick na kuona kama kweli baraza na watu wake wenyewe wanawaita wataalam wa mazingira walifungia Bar na kuelekeza njia nzuri za kudhibiti sauti.

Maelekezo waliyotoa na Bar wamechukua hatua kufanya marekebisho, natolea mfano Kitambaa chepe Tabata - Barakuda na sehemu nyingi tumeona watu wanaziba Bar zilizokuwa za wazi wana brand Marine Board kudhibiti sauti. Hivi hawa watu wamefikiria vizuri madhara yanayotokea baada ya kufunika Bar za wazi au ndio bado wana wenge la NEMC?

Hivi NEMC wamepita tena kuona marekebisho hayo, kwamba bar za Dar es salaam sasa ziwe kama bar za njombe au mbeya? kweli? hawa watu ndio wanazuia madhara ya sauti, Hapa Dar es Salaam kuna joto, kunachangamoto nyingi sana za magonjwa ya kuambukiza hewa ikiwa haitoshi, joto, Corona bado iko nje, pindu pindu Moto, humo ndani kuna mimoshi ya shisha, bado Ngwengwe (TB) hawa wataalamu wa sauti kama wali solve for X tu wakati sie tunaona msala. Unawacontain watu wanamwagilia moyo je kikichafuka watu wanatokea wapi?

Au ndio wamejembisha watu na wamekaa pale wanaendela na business as ussual zao. wengine wanatoka wakapunge hewa wazee wa masauti hawataki kelele na wala hawataki kumsikia yeyeote.
 
Wenye hizo bar wana uwezo wa kufunga viyoyozi na maisha yakaendelea bila shida.

Kelele ni janga la afya ya mwili na akili!
 
Mleta mada acha kutetea ujinga, labda kazi yako inayokulisha mjini ni U-DJ.

Kwa mfanyabiashara mwenye bar Dar es Salaam hawezi shindwa weka Sound Proof na hata viyoyozi kwenye biashara zao.

La sivyo waanzishe maeneo tofauti ya uwekezaji wa burudani na yawe mbali na makazi ya watu.

Huu utitiri wa makelele ya masauti ya miziki na walokole mitaani,ni kero kubwa kwa wananchi pamoja na afya ya akili.
 
Hoja nzur sana...

Walevi na wanaokesha bar tayar ni watu wenye low immunity... alaf unawafungia ndani, na mimoshi ya shisha.
Jumlisha respiratory diseases za kutosha... matokeo yake ni muda utakao amua.
 
Tena nawashauri NEMC wadhibiti na makelele huko sokoni kariakoo na kwingineko. Unakuta kila kifremu kina recorded voice inarushwa kwenye spika, kwa sauti ya juu "Njoo nunua hiki, njoo nunua kile" .

Hakuna kusilikilizana ni makelele mtindo mmoja. NEMC idhibiti hizi sauti zinageuza soko kuwa kama uwanja wa mazombi vile
 
Hao wamiliki wa bar ni mamburura. Watu wanakuja kuongea mambo yao na kupata kinywaji wewe unawapigia mziki mkubwa ambao unawafanya washindwe kusikilizana, ni ujinga wa hali ya juu.

Tengenezeni discotheques, dance halls na sehemu mahususi kwa ajili ya hao wateja wanaotaka makelele kama watu wenye uwendawazimu.

Lazima hizo bar zirudi kwenye malengo yao ya msingi, ambayo ni kuuza vinywaji na si kupiga discco. Pumbavu sana hawa wenye bar uchwara
 
Misiba na kunji la wafanyabiashara kariakoo limepooza ile jamba jamba iliyoletwa na NEMC wiki iliyopita. Kama ilivyoada na desturi sie great thinkers lazima tupate muda wa kudurusu zilizo kick na kuona kama kweli baraza na watu wake wenyewe wanawaita wataalam wa mazingira walifungia Bar na kuelekeza njia nzuri za kudhibiti sauti.

Maelekezo waliyotoa na Bar wamechukua hatua kufanya marekebisho, natolea mfano Kitambaa chepe Tabata - Barakuda na sehemu nyingi tumeona watu wanaziba Bar zilizokuwa za wazi wana brand Marine Board kudhibiti sauti. Hivi hawa watu wamefikiria vizuri madhara yanayotokea baada ya kufunika Bar za wazi au ndio bado wana wenge la NEMC??

Hivi NEMC wamepita tena kuona marekebisho hayo, kwamba bar za Dar es salaam sasa ziwe kama bar za njombe au mbeya?? kweli??? hawa watu ndio wanazuia madhara ya sauti, Hapa Dar es Salaam kuna joto, kunachangamoto nyingi sana za magonjwa ya kuambukiza hewa ikiwa haitoshi, joto, Corona bado iko nje, pindu pindu Moto,humo ndani kuna mimoshi ya shisha, bado Ngwengwe (TB) hawa wataalamu wa sauti kama wali solve for X tu wakati sie tunaona msala. Unawacontain watu wanamwagilia moyo je kikichafuka watu wanatokea wapi??

Au ndio wamejembisha watu na wamekaa pale wanaendela na business as ussual zao. wengine wanatoka wakapunge hewa wazee wa masauti hawataki kelele na wala hawataki kumsikia yeyeote.
Nani aliyekwambia bar zikifunikwa zinasababisha kuenea kwa TB na ngwengwe? Umesoma report ya Afya Ni mikoa ipi inaongoza kwa maambukizo ya TB na ngwengwe je hyo mikoa unauhakika dar haipo kwenye list? Nani alikwambia mikoa ya baridi inakuwa na baridi miezi yote? Ndo maana waligundua AC funikeni bar zenu hatutaki makelele
 
Unaingia bar kama shimoni...hiyo biashara imesha haribika.....
Unaingia ndani unakutana na harufu ya UVUNDO mzito
 
Nemc wamekosa kazi watuhamasishe tupande miti joto la Dunia linaongezeka, wanaangalia kwenye hela ndio wanapigia kelele
 
Kama hewa haitoshi kafungue bar yako ufukweni, hivi unaelewa kero ya kelele za hizo bar au unajali wewe kubueudika tu?? Mimi pia ni mdau wa Pombe na muziki lakini kero ya sauti hususani katika bar zilizo karibu na maeneo ya watu ni lazima idhibitiwe
 
Misiba na kunji la wafanyabiashara kariakoo limepooza ile jamba jamba iliyoletwa na NEMC wiki iliyopita. Kama ilivyoada na desturi sie great thinkers lazima tupate muda wa kudurusu zilizo kick na kuona kama kweli baraza na watu wake wenyewe wanawaita wataalam wa mazingira walifungia Bar na kuelekeza njia nzuri za kudhibiti sauti.

Maelekezo waliyotoa na Bar wamechukua hatua kufanya marekebisho, natolea mfano Kitambaa chepe Tabata - Barakuda na sehemu nyingi tumeona watu wanaziba Bar zilizokuwa za wazi wana brand Marine Board kudhibiti sauti. Hivi hawa watu wamefikiria vizuri madhara yanayotokea baada ya kufunika Bar za wazi au ndio bado wana wenge la NEMC??

Hivi NEMC wamepita tena kuona marekebisho hayo, kwamba bar za Dar es salaam sasa ziwe kama bar za njombe au mbeya?? kweli??? hawa watu ndio wanazuia madhara ya sauti, Hapa Dar es Salaam kuna joto, kunachangamoto nyingi sana za magonjwa ya kuambukiza hewa ikiwa haitoshi, joto, Corona bado iko nje, pindu pindu Moto,humo ndani kuna mimoshi ya shisha, bado Ngwengwe (TB) hawa wataalamu wa sauti kama wali solve for X tu wakati sie tunaona msala. Unawacontain watu wanamwagilia moyo je kikichafuka watu wanatokea wapi??

Au ndio wamejembisha watu na wamekaa pale wanaendela na business as ussual zao. wengine wanatoka wakapunge hewa wazee wa masauti hawataki kelele na wala hawataki kumsikia yeyeote.
NEMC wasipofanya kazi yao bado mtalalamika,wametekeleza wajibu wao bado mnalalamika...mnataka nini?

Sent from my SM-A507FN using JamiiForums mobile app
 
Mketa mada acha kutetea ujinga,labda kazi yako inayokulisha mjini ni U-DJ,la sivyo naomba niseme acha upumbavu wako.

Kwa mfanyabiashara mwenye bar dar es Salaam hawezi shindwa weka Sound Proof na hata viyoyozi kwenye biashara zao.

La sivyo waanzishe maeneo tofauti ya uwekezaji wa burudani na yawe mbali na makazi ya watu.

Huu utitiri wa makelele ya masauti ya miziki na walokole mitaani,ni kero kubwa kwa wananchi pamoja na afya ya akili.
Hizo sound proof ziishie huko huko ktk Madisco na Bars.

Mkija Kanisani na SHERIA hizo hakuna RANGI hamtoona.

Ameen.
 
nashauri pia nemc wadhibiti makelele ya misikiti, yaani saa 10 unavuta shuka mara waaakiiiibbaaaa lisauti likubwa utafikiri wote ni wavaaa kobasi.
 
Back
Top Bottom