NEMC Yafunda Makanisa na kumbi yanayopiga kelele

NEMC Yafunda Makanisa na kumbi yanayopiga kelele

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
MEYA wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe amewataka wamiliki wa Makanisa na Misikiti mjini hapa,kufuata sheria za utunzani wa Mazingira na kuacha kuzalisha kelele chafuzi zinazobughudhi na kuleta athari kwa wananchi.

Iranghe ametoa kauli hiyo mapema leo wakati akifungua semina kwa viongozi wa dini kuhusu utunzaji wa mazingira,yaliyoandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC na kutaka mafunzo hayo yawe endelevu ili kupunguza athari zinazotokana na mitetemo ya mziki.

Meneja wa NEMC kanda ya Kaskazini,Lewis Nzali alisema wamelazimika kutoa semina hiyo kutokana na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya uwepo wa kelele chafuzi zinazosababishwa na makanisa,viwanda,misikiti na kumbi za starehe.

Baadhi ya viongozi wa dini,mch.Estomih Mwanga wa kanisa la Last Glorious ,lililopo Ungalimited na Julieth Masawe wa kanisa la Pentekoste Ebenezer walisema semina hiyo itawasaidia sana katika kusimamia mazingira kwani wengi wao walikuwa wakiendesha mahuburinkwa sauti kubwa kwa sababu hawakuwa wanajua kuwa ni kosa kisheria.

"Ki ukweli tulikuwa hatujui kama tunavunja sheria kwa kupiga kelele zinazochafua mazingira ila tulikuwa tunajua ni kwamba tunaendesha ibada kihalali"alisema mch.Julieth.

Naye mch Mwanga alisema semina hiyo ni fursa ya kupata elimu itakayosaidia kuwarejesha kwenye msingi na kuepusha kupiga kelele chafuzi kwenye makanisa yao.
 
Kuna nyumba jirani yangu hapa mmmh sjui amerogwa yaani sio kuomba huku jamani usiku kucha hatulali anabweka tena kwa sauti ya juu kabsa

Bora hata angekua anasali kimoyo moyo sijui hawa walolole wakoje
 
Tatizo ni mipango miji kwa sasa mtu anaweza fungua kanisa popote pale.
 
Kuna nyumba jirani yangu hapa mmmh sjui amerogwa yaani sio kuomba huku jamani usiku kucha hatulali anabweka tena kwa sauti ya juu kabsa

Bora hata angekua anasali kimoyo moyo sijui hawa walolole wakoje
Nunua spika akianza omba fungulia spika.

Hakuna maombi ya kelele
 
MEYA wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe amewataka wamiliki wa Makanisa na Misikiti mjini hapa,kufuata sheria za utunzani wa Mazingira na kuacha kuzalisha kelele chafuzi zinazobughudhi na kuleta athari kwa wananchi.

Iranghe ametoa kauli hiyo mapema leo wakati akifungua semina kwa viongozi wa dini kuhusu utunzaji wa mazingira,yaliyoandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC na kutaka mafunzo hayo yawe endelevu ili kupunguza athari zinazotokana na mitetemo ya mziki.

Meneja wa NEMC kanda ya Kaskazini,Lewis Nzali alisema wamelazimika kutoa semina hiyo kutokana na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya uwepo wa kelele chafuzi zinazosababishwa na makanisa,viwanda,misikiti na kumbi za starehe.

Baadhi ya viongozi wa dini,mch.Estomih Mwanga wa kanisa la Last Glorious ,lililopo Ungalimited na Julieth Masawe wa kanisa la Pentekoste Ebenezer walisema semina hiyo itawasaidia sana katika kusimamia mazingira kwani wengi wao walikuwa wakiendesha mahuburinkwa sauti kubwa kwa sababu hawakuwa wanajua kuwa ni kosa kisheria.

"Ki ukweli tulikuwa hatujui kama tunavunja sheria kwa kupiga kelele zinazochafua mazingira ila tulikuwa tunajua ni kwamba tunaendesha ibada kihalali"alisema mch.Julieth.

Naye mch Mwanga alisema semina hiyo ni fursa ya kupata elimu itakayosaidia kuwarejesha kwenye msingi na kuepusha kupiga kelele chafuzi kwenye makanisa yao.
Kiongozi anayesema alikuwa hajui kuwa sheria inakataza upigaji wa kelele ananitia mashaka, jambi hilo liko kwenye sheria za miji na majiji na zimekuwa zikitangazwa sana ikiwa ni pamoja na adhabu zake.
 
MEYA wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe amewataka wamiliki wa Makanisa na Misikiti mjini hapa,kufuata sheria za utunzani wa Mazingira na kuacha kuzalisha kelele chafuzi zinazobughudhi na kuleta athari kwa wananchi.

Iranghe ametoa kauli hiyo mapema leo wakati akifungua semina kwa viongozi wa dini kuhusu utunzaji wa mazingira,yaliyoandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC na kutaka mafunzo hayo yawe endelevu ili kupunguza athari zinazotokana na mitetemo ya mziki.

Meneja wa NEMC kanda ya Kaskazini,Lewis Nzali alisema wamelazimika kutoa semina hiyo kutokana na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya uwepo wa kelele chafuzi zinazosababishwa na makanisa,viwanda,misikiti na kumbi za starehe.

Baadhi ya viongozi wa dini,mch.Estomih Mwanga wa kanisa la Last Glorious ,lililopo Ungalimited na Julieth Masawe wa kanisa la Pentekoste Ebenezer walisema semina hiyo itawasaidia sana katika kusimamia mazingira kwani wengi wao walikuwa wakiendesha mahuburinkwa sauti kubwa kwa sababu hawakuwa wanajua kuwa ni kosa kisheria.

"Ki ukweli tulikuwa hatujui kama tunavunja sheria kwa kupiga kelele zinazochafua mazingira ila tulikuwa tunajua ni kwamba tunaendesha ibada kihalali"alisema mch.Julieth.

Naye mch Mwanga alisema semina hiyo ni fursa ya kupata elimu itakayosaidia kuwarejesha kwenye msingi na kuepusha kupiga kelele chafuzi kwenye makanisa yao.
Wanajifanyaga hawajui lakini, kimsingi ningeshauri kwa siku za ibada asubuhi hadi jioni ruksa kupiga muziki mkubwa lakini kwa siku za kawaida hususan usiku ni bora wakafanya kimyakimya
 
"Ki ukweli tulikuwa hatujui kama tunavunja sheria kwa kupiga kelele zinazochafua mazingira ila tulikuwa tunajua ni kwamba tunaendesha ibada kihalali"alisema mch.Julieth.
Labda Roho Mtakatifu hakuwafundisha au Hawakumsikiliza ndo maana wanapigia watu kelele.
 
Wanajifanyaga hawajui lakini, kimsingi ningeshauri kwa siku za ibada asubuhi hadi jioni ruksa kupiga muziki mkubwa lakini kwa siku za kawaida hususan usiku ni bora wakafanya kimyakimya
Mungu anasikia hata bila kelele!
 
MEYA wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe amewataka wamiliki wa Makanisa na Misikiti mjini hapa,kufuata sheria za utunzani wa Mazingira na kuacha kuzalisha kelele chafuzi zinazobughudhi na kuleta athari kwa wananchi.

Iranghe ametoa kauli hiyo mapema leo wakati akifungua semina kwa viongozi wa dini kuhusu utunzaji wa mazingira,yaliyoandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC na kutaka mafunzo hayo yawe endelevu ili kupunguza athari zinazotokana na mitetemo ya mziki.

Meneja wa NEMC kanda ya Kaskazini,Lewis Nzali alisema wamelazimika kutoa semina hiyo kutokana na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya uwepo wa kelele chafuzi zinazosababishwa na makanisa,viwanda,misikiti na kumbi za starehe.

Baadhi ya viongozi wa dini,mch.Estomih Mwanga wa kanisa la Last Glorious ,lililopo Ungalimited na Julieth Masawe wa kanisa la Pentekoste Ebenezer walisema semina hiyo itawasaidia sana katika kusimamia mazingira kwani wengi wao walikuwa wakiendesha mahuburinkwa sauti kubwa kwa sababu hawakuwa wanajua kuwa ni kosa kisheria.

"Ki ukweli tulikuwa hatujui kama tunavunja sheria kwa kupiga kelele zinazochafua mazingira ila tulikuwa tunajua ni kwamba tunaendesha ibada kihalali"alisema mch.Julieth.

Naye mch Mwanga alisema semina hiyo ni fursa ya kupata elimu itakayosaidia kuwarejesha kwenye msingi na kuepusha kupiga kelele chafuzi kwenye makanisa yao.
Maoni yangu kuwepo semina za mara kwa mara na sheria hizi ziandikwe na kutumwa ktk nyumba za ibada,ofisi za mtaa na ktk mitandao ya kijamii pande zote wananchi na wavunja sheria ktk nyumba za ibada waweze tambua makosa yao.
Arusha ni moja ya eneo lenye makelele mengi usiku ya nyumba za ibada. NEMC wakomeshe hizi kelele mijini kwa kujitokeza wazi na kuelimisha jqmii badala kubakia ofisini na visemina vya wavunja sheria bila kuelimisha jamii husika.
 
Back
Top Bottom