Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe na kitambulisho chochote. Cha mpiga kura kama uliwahi kuwa nacho, ila Ukiwa na kitambulisho cha taifa (NIDA) basi kazi itakuwa nyepesi zaidi.Nini kinahitajika kujiandikisha?
Kama sina kitambulisho chochote?Uwe na kitambulisho chochote. Cha mpiga kura kama uliwahi kuwa nacho, ila Ukiwa na kitambulisho cha taifa (NIDA) basi kazi itakuwa nyepesi zaidi.
Majina yako matatu, umri. Shughuli inachukua dakika mbili. Usikose mtu wangu. Tumia haki yako ya msingi.
Kuna mahali nilikuwa naongea na vijana,wanasema hali ya mwaka 2020 bado haijawatoka vichwani mwao wanaona kupiga kura ni kupoteza muda wao,mchakato wa kuoata wagobea wenyewe ndani ya vyama haukua wa kidemcrasia ,wanachama wanampitisha X uongozi unamuweka Y kugombe.Pia zile tuhuma za wizi wa kura. Labda kupata vitambulisho kwa ajili ya dhamana maana wanakamatwa kamatwa na polisi wanaulizwagqa vitambuliaho ili kutolea dhamana.Juzi nilienda kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ni muhimu kama kijana kuhakikisha unatumia haki yako ya msingi kumchagua kiongozi bora anayemtaka atakaye hakikisha maendeleo ya jamii na nchi kwa ujumla.
Kulalamika mwisho 2024.
Waliyoenda wanasema jina na umri basi 😄Nini kinahitajika kujiandikisha?
Mambo hayo hayapaswi kutukatisha tamaa. Tukiwa wengi, na nguvu inakuwa kubwa. Tuendelee kuelimishana kuhusu mambo haya.Kuna mahali nilikuwa naongea na vijana,wanasema hali ya mwaka 2020 bado haijawatoka vichwani mwao wanaona kupiga kura ni kupoteza muda wao,mchakato wa kuoata wagobea wenyewe ndani ya vyama haukua wa kidemcrasia ,wanachama wanampitisha X uongozi unamuweka Y kugombe.Pia zile tuhuma za wizi wa kura. Labda kupata vitambulisho kwa ajili ya dhamana maana wanakamatwa kamatwa na polisi wanaulizwagqa vitambuliaho ili kutolea dhamana.
My take.Elimu ya uraia uongezwe nguvu.
Umejiandikisha kweli??? Mbona hakihitajiki chochote zaidi ya majina matatu na umri....Uwe na kitambulisho chochote. Cha mpiga kura kama uliwahi kuwa nacho, ila Ukiwa na kitambulisho cha taifa (NIDA) basi kazi itakuwa nyepesi zaidi.
Majina yako matatu, umri. Shughuli inachukua dakika mbili. Usikose mtu wangu. Tumia haki yako ya msingi.
Hujaelewa flani EveUmejiandikisha kweli??? Mbona hakihitajiki chochote zaidi ya majina matatu na umri....
Hahaha 😂 😂 😂 😂 😂 😂Mambo hayo hayapaswi kutukatisha tamaa. Tukiwa wengi, na nguvu inakuwa kubwa. Tuendelee kuelimishana kuhusu mambo haya.
Mmehamia na huku?
Hii inafanyika kwasababu watu wanahama, wanakufa....lazima daftari liboreshwe. Lihuishwe ili taarifa sahihi za mpiga kura zipatikane. Narudia tena. Ni zoezi la dakika mbili tu. Kisha unaendelea na shughuli zako ukisubiri tarehe ya kupiga kura.Kupotezeana muda tu. Tume ya uchaguzi isimamie chaguzi zote nchini kwa kitambulisho cha mpiga kura au NIDA. Hizi sarakasi za CCM hazina maana yoyote, TAMISEMI wafanye majukumu yao, viongozi wachaguliwe kwa usimamizi wa tume ya UCHAGUZI.