Nenda kazime taa...

Yani unagharamikia kila kitu afu unaambiwa kazime taa mfanyie gizani, afu kwa uboya wako unakubali!
 
Dah... Yaani gesti unatangulia wewe???

Mabaharia humtanguliza mchuchu chumbani, afu wao ndo wanakuwa wa kwanza kutoka
Hawa vijana wa dsm wanashangaza
Sana unaanzaje ww kutangulia gest??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

stidy
 
Unamtangulizaje mchuchu.. ina maana umpe hela yeye atangulie akachukue chumba? Maishaa [emoji23][emoji23]
Na ukitangulia ww alaf mchuchu akikosa
Kuja???

stidy
 
[emoji28][emoji28]hapo Amani ya bwana na iamue ndani yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ucje ukajarbu kunifanyia kibsa
Naomba mapema[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

stidy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…