Nenda kazime taa...

Huwa wanasema wewe c bure utakuwa na dawa, kumbe kiu yake ndo imemleta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona ngumu,halafu ya moto! Unaniingizia yote hii?
 
Hello friends.

Ukiachana na "Nenda kazime taa" ni motivational words gani umezisikia kutoka kwa mwanamke.

Naanza mimi..
2. Nishukie wapi
3...

Karibuni
Ufanye pole pole bana mi sijazoea haraka haraka
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜Dhaaa
Kongole mkuu hapo alicheza kama
Baharia
 
mawasilano yaliendelea?.ulitumia condom? samahani lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Aisee ukiona text ya hivyo mwenyew unasema yesssπŸ’ͺπŸ’ͺ
Yaan hua napiga had makofi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Ila kwako ntapgwa had magot kwa heshima
KubwaπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€
 
Yaan hua napiga had makofi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Ila kwako ntapgwa had magot kwa heshima
KubwaπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€
πŸ˜‚πŸ˜‚Aisee hataree
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…