NENDENI UWANJANI ILI MMLAUMU ZAHERA VZR ACHENI POROJO MASHABIKI WA YANGA.

NENDENI UWANJANI ILI MMLAUMU ZAHERA VZR ACHENI POROJO MASHABIKI WA YANGA.

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,019
Reaction score
1,824
Hivi aliewaloga ni nani mpaka mnaviogopa vile viti vya uwanja wa taifa?
.
Basi nendeni hata mkashangilie mmesimama.
.
.
Mfyuuuuu,, kwani mkoje? Kocha Zahera aliacha maelekezo na amerudi jana ndo kwanza amecheza mechi ya kwanza ya mashindano mnaanza kutaja jina lake mkitaka mmtwishe msala! Nendeni uwanjani....
.
.
Timu ni mpya mmesajili kwakuuunga unga mwacheni afanye kazi yake mwalimu,,nyie Nendeni uwanjani tena muujaze uwanja muone kitakachotokea.
.
. Good team
. Good Leader
.Good Coach
Bt mashabiki siiiiiifuuuuuuriiiiii[emoji196][emoji196][emoji196].
.
#wananchinendeniuwanjani[emoji196]
 
Ni kweli, twendeni uwanjani tuache mazoea ya kukaa mtaani tukiskilizia matokeo, Narudia tena twendeni uwanjani. Yaani Jana tumebowa sana, yaani idadi ya tulioudhuria mechi ile hatufikii hata 1/8 ya ujazo wa uwanja, alafu mnaleta maneno mengi kwenye keyboard, mnaboaaa hakuna mfano
 
Kwa kweli kilichotokea kilivunja moyo sana hapa natafakari ni kwa nini yanga haiwi kama simba mbona wanasimba wanajaa full bila kujali matokeo mfano kila mwanasimba hakuwa na imani kuifunga al ahly au wale wakongo ila watu walifunika full na mara timu ikashinda ila wanayanga bariiiiiiiiiiidi sana na hapo ndio ligi inaanza ikifika mbali si ndio ataenda mmoja kabisa.....BASI NJOONI NEXT TIME TUTATOA CHAKULA NA VINYWAJI BUREEWW!!!!!
 
Kwa kweli kilichotokea kilivunja moyo sana hapa natafakari ni kwa nini yanga haiwi kama simba mbona wanasimba wanajaa full bila kujali matokeo mfano kila mwanasimba hakuwa na imani kuifunga al ahly au wale wakongo ila watu walifunika full na mara timu ikashinda ila wanayanga bariiiiiiiiiiidi sana na hapo ndio ligi inaanza ikifika mbali si ndio ataenda mmoja kabisa.....BASI NJOONI NEXT TIME TUTATOA CHAKULA NA VINYWAJI BUREEWW!!!!!
Hahahahah...kwenda uwanjani sio utamaduni wao hao
 
Kwa kweli kilichotokea kilivunja moyo sana hapa natafakari ni kwa nini yanga haiwi kama simba mbona wanasimba wanajaa full bila kujali matokeo mfano kila mwanasimba hakuwa na imani kuifunga al ahly au wale wakongo ila watu walifunika full na mara timu ikashinda ila wanayanga bariiiiiiiiiiidi sana na hapo ndio ligi inaanza ikifika mbali si ndio ataenda mmoja kabisa.....BASI NJOONI NEXT TIME TUTATOA CHAKULA NA VINYWAJI BUREEWW!!!!!
eti Yanga Bariiiiiiiiidi, kiukweli wabadilike watani wetu.
 
Shabiki ni chachu kubwa ya ushindi , jana wachezaji hawakupewa support stahiki kwakweli, tumewaangusha na huo ndio ukweli. Ule uwanja ulitakiwa utapike kama siku ya mwananchi ila nadhani kuna haja ya kumtoa Dismas
Dismas makosa yake ni yapi mpaka atoke
 
Shabiki ni chachu kubwa ya ushindi , jana wachezaji hawakupewa support stahiki kwakweli, tumewaangusha na huo ndio ukweli. Ule uwanja ulitakiwa utapike kama siku ya mwananchi ila nadhani kuna haja ya kumtoa Dismas
Dismas sio tatizo,labda anaweza kuwa ni sehem tu....tatizo ni washabik wenyewe
Hivi washabik hawawez kwenda uwanjan had Dismas awashawish.Mimi ni mmojawapo niliekuwa siend uwanjan lkn nilikua sipend sababu ya mpira mbovu,ni kama Jana walivyoboa kipind cha kwanza kwa mpira wa hovyo.Kwa hyo kuna mambo meng yanayochangia washabik kutoenda uwanjan na sio hamasa pekee
 
Viongozi waeleze Yondani,Dante na Abdul kwa nini hawako kwenye kikosi.. kwa Nini Kakolanya ,Ajibu na Gadiel wameondoka ..senior players mnawazingua mnatuletea wapya tupu..Man U wamempigania Pogba ..nyie mlishindwa vipi...Nani aende uwanjani..Watoeni Rollers muone nyomi..
 
Kwa kweli kilichotokea kilivunja moyo sana hapa natafakari ni kwa nini yanga haiwi kama simba mbona wanasimba wanajaa full bila kujali matokeo mfano kila mwanasimba hakuwa na imani kuifunga al ahly au wale wakongo ila watu walifunika full na mara timu ikashinda ila wanayanga bariiiiiiiiiiidi sana na hapo ndio ligi inaanza ikifika mbali si ndio ataenda mmoja kabisa.....BASI NJOONI NEXT TIME TUTATOA CHAKULA NA VINYWAJI BUREEWW!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukishakua na tabia ya kulalamika lalamika kila kitu utaona unaonewa, wananchi gani hata uwanjani mnaogopa kwenda?. Alafu Simba ikicheza mnaenda kushangilia wageni, mchango wenu kwenye Yanga ni upi sasa?, kusubiria bakuli au kulalamika?. Acheni hzo bhana.
Hivi aliewaloga ni nani mpaka mnaviogopa vile viti vya uwanja wa taifa?
.
Basi nendeni hata mkashangilie mmesimama.
.
.
Mfyuuuuu,, kwani mkoje? Kocha Zahera aliacha maelekezo na amerudi jana ndo kwanza amecheza mechi ya kwanza ya mashindano mnaanza kutaja jina lake mkitaka mmtwishe msala! Nendeni uwanjani....
.
.
Timu ni mpya mmesajili kwakuuunga unga mwacheni afanye kazi yake mwalimu,,nyie Nendeni uwanjani tena muujaze uwanja muone kitakachotokea.
.
. Good team
. Good Leader
.Good Coach
Bt mashabiki siiiiiifuuuuuuriiiiii[emoji196][emoji196][emoji196].
.
#wananchinendeniuwanjani[emoji196]
 
Back
Top Bottom