marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Hivi aliewaloga ni nani mpaka mnaviogopa vile viti vya uwanja wa taifa?
.
Basi nendeni hata mkashangilie mmesimama.
.
.
Mfyuuuuu,, kwani mkoje? Kocha Zahera aliacha maelekezo na amerudi jana ndo kwanza amecheza mechi ya kwanza ya mashindano mnaanza kutaja jina lake mkitaka mmtwishe msala! Nendeni uwanjani....
.
.
Timu ni mpya mmesajili kwakuuunga unga mwacheni afanye kazi yake mwalimu,,nyie Nendeni uwanjani tena muujaze uwanja muone kitakachotokea.
.
. Good team
. Good Leader
.Good Coach
Bt mashabiki siiiiiifuuuuuuriiiiii[emoji196][emoji196][emoji196].
.
#wananchinendeniuwanjani[emoji196]
.
Basi nendeni hata mkashangilie mmesimama.
.
.
Mfyuuuuu,, kwani mkoje? Kocha Zahera aliacha maelekezo na amerudi jana ndo kwanza amecheza mechi ya kwanza ya mashindano mnaanza kutaja jina lake mkitaka mmtwishe msala! Nendeni uwanjani....
.
.
Timu ni mpya mmesajili kwakuuunga unga mwacheni afanye kazi yake mwalimu,,nyie Nendeni uwanjani tena muujaze uwanja muone kitakachotokea.
.
. Good team
. Good Leader
.Good Coach
Bt mashabiki siiiiiifuuuuuuriiiiii[emoji196][emoji196][emoji196].
.
#wananchinendeniuwanjani[emoji196]