kimanuamanua
Member
- Sep 25, 2013
- 80
- 15
Muda mrefu nimekuwa nikipata shida kutambua ni neno gani hasa sahihi kati ya
1. Ugali na Ugari...utamsikia mtu akisema "nina songa ugari", je ni sahihi
2. Kulowa na Kurowa...utamsikia mtu akisema "amelowa chapachapa", je ni sahihi
3. Mwango na Mlango
4. Mwizi na Mwivi
Basi kuna maneno mengi ambayo yanafanana na hayo na yamo ndani ya jamii zetu na hutumiwa na watu ambao hujigamba kuwa wao ni waswahili, sasa sisi ambao Kiswahili ni lugha ya darasani tushike lipi??
Wadau tupeni mwongozo
1. Ugali na Ugari...utamsikia mtu akisema "nina songa ugari", je ni sahihi
2. Kulowa na Kurowa...utamsikia mtu akisema "amelowa chapachapa", je ni sahihi
3. Mwango na Mlango
4. Mwizi na Mwivi
Basi kuna maneno mengi ambayo yanafanana na hayo na yamo ndani ya jamii zetu na hutumiwa na watu ambao hujigamba kuwa wao ni waswahili, sasa sisi ambao Kiswahili ni lugha ya darasani tushike lipi??
Wadau tupeni mwongozo