Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aiseeeee !!!Ni neno la Kiarabu hilo. AMIRAT likiwa na maana Kiongozi au Kamanda.
AMIRAT kiarabu maana yake ni Amiri Jeshi wa kike wa kiume huitwa AmiriNi neno la Kiarabu hilo. AMIRAT likiwa na maana Kiongozi au Kamanda.
Eti nao wanataka kwenda ikulu kwa kutafuta vijimambo vidogo vidogo visivyo na tija!Yamebainika mengi sana leo , kwenye kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Tanzania awamu ya 5 .
Tusirudie yaliyosemwa , bali ninataka kujua asili ya Neno Amirati na labda na aliyelipendekeza kwamba ndio litumike badala ya Amiri Jeshi Mkuu .
Muulize MabeyoEti nao wanataka kwenda ikulu kwa kutafuta vijimambo vidogo vidogo visivyo na tija!
Mabeyo keshakujibu hakuna amirat!Muulize Mabeyo
kasema asili yake wapi ?Mabeyo keshakujibu hakuna amirat!
Neno la kiarabu;Yamebainika mengi sana leo , kwenye kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Tanzania awamu ya 5 .
Tusirudie yaliyosemwa , bali ninataka kujua asili ya Neno Amirati na labda na aliyelipendekeza kwamba ndio litumike badala ya Amiri Jeshi Mkuu .
Hiyo ni lugha ya kiarabu kama wewe utumiavyo maneno mengi ya kiswahili yaliyokopwa kwa kiarabu sasa mwenzetu kama umeamua kujizima data kwa kila neno kulitafutia asili yake basi utachelewa!kasema asili yake wapi ?
Kwani huko wanaongozwa na wanawake?Asili Yake Uarabuni Kwa Akina Habib