Neno anaupiga mwingi limepotea ghafla. Hongera Dkt. Bashiru, andaa nondo nyingine kwenye mikopo, umeme na maji

Neno anaupiga mwingi limepotea ghafla. Hongera Dkt. Bashiru, andaa nondo nyingine kwenye mikopo, umeme na maji

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Kauli ya Dkt. Badhiru Ally imekomesha tabia ya watu kusifia sifia ovyo huku nchi ikiendelea kupitia matatizo makubwa sana ya mdororo mkubwa wa kiuchumi uliosababishwa na Corona, vita vya Ukraine na Russia, ufisadi wa Serikali ya awamu ya 6, ukopaji holela kukatika hovyo kwa umeme n,k.

Pamoja na haya matatizo makubwa lakini watu walikuwa wakisifia sifia anaupiga mwingi huku vitu vikipanda bei, pesa kuadimika mitaaani, tunamuomba Dkt. Bashiru atoe tena sauti ya kimamlaka juu ya haya matatizo.
 
Kauli ya Dkt. Badhiru Ally imekomesha tabia ya watu kusifia sifia ovyo huku nchi ikiendelea kupitia matatizo makubwa sana ya mdororo mkubwa wa kiuchumi uliosababishwa na Corona, Vita vya Ukraine na Russia, ufisadi wa Serikali ya awamu ya 6, ukopaji holela kukatika hovyo kwa umeme nk

Pamoja na haya matatizo makubwa lkn watu walikuwa wakisifia sifia anaupiga mwingi huku vitu vikipanda bei pesa kuadimika mitaaani tunamuomba Dkt. Bashiru atoe tena sauti ya kimamlaka juu ya haya matatizo
Afu Wala halijapotea lipo Sana tuu
 
Kauli ya Dkt. Badhiru Ally imekomesha tabia ya watu kusifia sifia ovyo huku nchi ikiendelea kupitia matatizo makubwa sana ya mdororo mkubwa wa kiuchumi uliosababishwa na Corona, Vita vya Ukraine na Russia, ufisadi wa Serikali ya awamu ya 6, ukopaji holela kukatika hovyo kwa umeme nk

Pamoja na haya matatizo makubwa lkn watu walikuwa wakisifia sifia anaupiga mwingi huku vitu vikipanda bei pesa kuadimika mitaaani tunamuomba Dkt. Bashiru atoe tena sauti ya kimamlaka juu ya haya matatizo

Naunga mkono hoja
 
Leo mama kagongelea muhuri kwamba ukiwa adui yake ashirikiani na wewe.
 
Kauli ya Dkt. Badhiru Ally imekomesha tabia ya watu kusifia sifia ovyo huku nchi ikiendelea kupitia matatizo makubwa sana ya mdororo mkubwa wa kiuchumi uliosababishwa na Corona, vita vya Ukraine na Russia, ufisadi wa Serikali ya awamu ya 6, ukopaji holela kukatika hovyo kwa umeme n,k.

Pamoja na haya matatizo makubwa lakini watu walikuwa wakisifia sifia anaupiga mwingi huku vitu vikipanda bei, pesa kuadimika mitaaani, tunamuomba Dkt. Bashiru atoe tena sauti ya kimamlaka juu ya haya matatizo.
Nchi inadidimia watu wanasifu na kuadubu
 
Je unaweza kuupiga mwingi ukatoka nje na usifunge gori hii vipi?
 
Kauli ya Dkt. Badhiru Ally imekomesha tabia ya watu kusifia sifia ovyo huku nchi ikiendelea kupitia matatizo makubwa sana ya mdororo mkubwa wa kiuchumi uliosababishwa na Corona, vita vya Ukraine na Russia, ufisadi wa Serikali ya awamu ya 6, ukopaji holela kukatika hovyo kwa umeme n,k.

Pamoja na haya matatizo makubwa lakini watu walikuwa wakisifia sifia anaupiga mwingi huku vitu vikipanda bei, pesa kuadimika mitaaani, tunamuomba Dkt. Bashiru atoe tena sauti ya kimamlaka juu ya haya matatizo.
Bashiru ni mtu wa kanuni sana, huwezi kumsukuma kiuchonganishi ukafanikiwa!! Wewe unataka kuchonganisha wakati Bashiru anataka kujenga palipobomoka! Hana chuki na mama wakati wewe una chuki na mama!!
 
Back
Top Bottom