Neno "CHAI" lina maana gani?

Neno "CHAI" lina maana gani?

images (4).jpeg
 
Ukileta taarifa kidogo tu utasikia hii chai, mara majani ya mpera, mara watakwambia hii ni gahawa, mara majani ya chai mengi, mara tangawizi imezidi!
Hivi hili neno asili yake ni ipi na ina maana gani?
Kama ghahawa umeifananisha na chai basi hata hoja yako ni CHAI!
 
Back
Top Bottom