Basi ahirisheni uchaguzi wawapumzishe 🐼Kwan ukiipumzisha CDM huu msimu wa skukuu mtapungukiwa nini? Siasa za umbea tu
Ndo hadi sikukuu watu wasisherekeheBasi ahirisheni uchaguzi wawapumzishe 🐼
Wajinga wote lazima waitwe chawa.Sasa hivi wanachama wa CHADEMA wamegawanyika makundi mawili, kundi la Mbowe na Kundi la Tundu Lissu.
Kundi la Mbowe wanaitwa CHAWA wa Mbowe. Nakumbuka neno hili lilitumika sana kuwatusi wafuasi wa CCM wanao muunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan. Sasa ni zamu ya waasisi wa neno CHAWA kunywa kikombe cha UCHAWA kwa Mbowe.
Vumilieni yatapita.
Kila chama kuna chawa wake😁
Hii nayo ni sehemu ya kusheherekea 😄Ndo hadi sikukuu watu wasisherekehe
ukorofi tuHii nayo ni sehemu ya kusheherekea 😄
CHAWA ni wapo CCM pekee.Sasa hivi wanachama wa CHADEMA wamegawanyika makundi mawili, kundi la Mbowe na Kundi la Tundu Lissu.
Kundi la Mbowe wanaitwa CHAWA wa Mbowe. Nakumbuka neno hili lilitumika sana kuwatusi wafuasi wa CCM wanao muunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan. Sasa ni zamu ya waasisi wa neno CHAWA kunywa kikombe cha UCHAWA kwa Mbowe.
Vumilieni yatapita.
Kila chama kuna chawa wake😁