Neno ''FULSA'' linapoonekana TBC ...

Rohombaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
13,067
Reaction score
10,393
Dah,,,
Neno ''FULSA'' linapooneka kwenye matangazo ya Televisheni ya Taifa TBC ni tusi kubwa Watanzania wazalendo....
Haiwezekani tukajivunia lugha yetu ya taifa halafu chombo tunachokitumia kutangaza lugha hiyo ndicho cha kwanza kuharibu...
Nimeumia sana kwa aibu hii..... Sema tu sina mamlaka.....tungekuwa tunaongea mengine,,,,😑
 
Lini Hiyo Fulsa Badala Ya Fursa Ambayo Ni Sahihi 🀣😝😜
 
Tanzania Nchi ya Maajabu kweli-kweli.


Wadau nipeni kura nilete maajabu Tanzania.Nitaigeuza Tanzania iwe kama ulaya,Mageuzi nitakayo yafanya yatawashangaza sana watu mtabaki mmeduwaa midomo wazi kama mmeshikwa ugoni,kila baamedi atakuwa na uwezo wakumiliki Benz.

Jamani ni mambo madogo tu mkinipa kura,uchumi utapaa ghafla bin vuu.

Lugha ya Taifa English Full stop. Shule ya msingi mpaka chuo kikuu English Full stop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni "typing error" mkuu. Kumbuka pia neno " 'embu' badala ya 'ebu"huonekana humu jamvini kimakosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…