Neno gani la "kibongo" linakupiga chenga??

Ewaaa! Lahaja ya Kitumbatu ni ya ajabu sana. Yaani unapotea kabisaaa. Mathalani:

Bamwanamke= baba mdogo, Ami
Bebeyu= Beberu
Bupuru= fuvu la kichwa
Buchari= kisu
Gubuya= sema ukweli
Ima= simama

Wana lahaja za ajabu hawa Wakitumbatu.

Kingine Kipepeo anayeruka ruka Wapemba wanamuita Kurukufu.
 
Nduthi = Bodaboda
Ngori = Noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Yaani shida, ukiwauliza wao wanajua wanazungumza Kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…