Neno gani la "kibongo" linakupiga chenga??

Na wakazi wa kwenu huko Mombasa, kuna mmoja alikuwa anazungumza katikati ya mazungumzo akasema "Yule ni mnono sana" nikabaki hee! Huyu si anamzungumzia mwanaume mwenzake! Baadae kuelewa kumbe alikuwa ana maanisha ni mnene(bonge).
Nini maana ya mnono bongo?
 
Kuna neno linaitwa "Kudamshi" sijui mpaka sasa lina maana gani, na naishi Dar hii hii.
haya maneno yameletwa na vijana wa kitanzania wanaotumia mitandao kijamii hususani instagram.
 
Hapo kwenye matamba umenikumbusha mbali japo sijaahi uona ila kusikia wakitamka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi hushangaa vile waBongo hutamka L karibu kama R
Siyo watanzania wote wanaojuwa kiswahili fasaha,kuna wangine wakiongea hicho kiswahili unaweza sema ni mgeni flani hivi,kiswahili fasaha nenda pwani.
 
Na wakazi wa kwenu huko Mombasa, kuna mmoja alikuwa anazungumza katikati ya mazungumzo akasema "Yule ni mnono sana" nikabaki hee! Huyu si anamzungumzia mwanaume mwenzake! Baadae kuelewa kumbe alikuwa ana maanisha ni mnene(bonge).
Ila shuleni alifundishwa tofauti.
Mnono ni kwa nguruwe ilhali mnene ni kwa binadamu
 


1. Yondo Sister, wale wale = Panya wa kubabua/luchoma
2. Watoto wa Malecela, Wagogo wa Jangwani, Omba Omba - Yanga FC
3. Wanaue wa Dar, Tanga, Zanzibar, Pemba = Wanaume wa hovyo, Mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…