D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Mlioacha pia mnaruhusiwa kusema chochoteNgoja waje walioachwa
Nimekaa siti ya mbele kusikiliza
Aiséenilimtukana sana, hata sijui kama ataweza kunikumbuka tena, japo nilikuwa na m care kupita maelezo
Ungekuwa jirani ningekupa héla ya supuNilimwambia unajeuri kwasababu chuchu zimesimama ngoja zilale utajua wanaume ni watu gani!!maana ata bibi yako alikuwa na chuchu sa sita na ni mwanamke ila jiulize kwanini atongozwi.
Nilimtakia kila la heri na sasa anajuta anataka turudiane ila daaah mimi sihitaji mapenziMi nlimwambia ipo siku utajua nilikupenda na kweli sahizi ananiomba msamaha ila ndo nishapata girl mwingine wewe ulimwambiaje mpenzi wako mlivyoachana?
Tu?Kila LA kheri..
Ndio kwenye kuachana sina maneno mengi sababu najua utanikumbuka tuu.
Atakuwa anatamani dunia immeze au akuroge?Leo unanikataa sababu sina kitu,lakin nakuhakikishia ipo siku historia itakuhukumu na kunikumbuka kwa yte... Baada ya miaka saba nauwezo wa kununua gar nalopenda,nasafiri napotaka na nakula nachopenda,yy kabaki kule kule kwa wahind mpka sasa bahat nzur mama yake ana mlaumu kila mara kwa nn aliniacha,napomuumiza zaid mke wngu anampenda mwanae sana bas inamkondesha mpka leo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nilimuambia kua "siku zote anakaa sana stendi kwaajili yakusubiri siti ya mbele mwishowe hupanda kwenye buti kwa kuchelewa" na sasa nimemuona amechelewa anatamani hata kuolewa mke wa sita pumbavu zake
Aliniambia ipo siku utakuja kujua kwamba mimi ndio nilikupenda kwa dhati na wewe unanipenda sana sema basi tuu mawenge yako mama.....aliongea huku chozi mtoto wa kiume linamtoka [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Mi nlimwambia ipo siku utajua nilikupenda na kweli sahizi ananiomba msamaha ila ndo nishapata girl mwingine wewe ulimwambiaje mpenzi wako mlivyoachana?