Averos JF-Expert Member Joined Aug 6, 2010 Posts 993 Reaction score 703 Jul 9, 2013 #1 Nisaidieni kujua iwapo neno HAYATI ni sahihi kulitumia kwa kumaanisha neno Marehemu. Kama kusema Hayati Malima au hayati Kambona. Na kama si mahala pake hapo ni wapi neno HAYATI linaweza kutumika ki usahihi
Nisaidieni kujua iwapo neno HAYATI ni sahihi kulitumia kwa kumaanisha neno Marehemu. Kama kusema Hayati Malima au hayati Kambona. Na kama si mahala pake hapo ni wapi neno HAYATI linaweza kutumika ki usahihi
M Megawatt B JF-Expert Member Joined Aug 23, 2011 Posts 259 Reaction score 69 Jul 11, 2013 #2 Ni sahihi kabisa
Ndumbayeye JF-Expert Member Joined Jan 31, 2009 Posts 7,413 Reaction score 4,020 Jul 11, 2013 #3 hayati = marehemu muheshimiwa
E emkey JF-Expert Member Joined Mar 15, 2011 Posts 728 Reaction score 137 Jul 12, 2013 #4 Hayati=mtu aliyekuwa na hadhi fulani ktk jamii/nchi. Marehemu=mtu ambaye hakuwa na hadhi ktk jamii/nchi e.g. mimi na wewe+machingaz, wanafunzi wa msingi na sek+chekechea et al.
Hayati=mtu aliyekuwa na hadhi fulani ktk jamii/nchi. Marehemu=mtu ambaye hakuwa na hadhi ktk jamii/nchi e.g. mimi na wewe+machingaz, wanafunzi wa msingi na sek+chekechea et al.