neno hili limeruhusiwa redioni?

neno hili limeruhusiwa redioni?

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,191
Reaction score
8,490
mara nyingi watangazaji wa redio wamekuwa wakilitumia neno hili ''nigga'' au kucheza nyimbo zenye neno hili bila kukatwa au maneno mengine pia, hivi hawajafundishwa maadili ya maneno ya kutumia au redio hazina clean version ya hizo nyimbo? au maneno haya sio offensive kama zamani?
 
Back
Top Bottom