radiation JF-Expert Member Joined May 28, 2013 Posts 241 Reaction score 254 Jun 7, 2013 #1 lipo neno ama msemo ambao hutumika sana siku hizi "KAMA MBWAI IWE MBWAI"je kuna mwenye maana ya hili neno na asili yake
lipo neno ama msemo ambao hutumika sana siku hizi "KAMA MBWAI IWE MBWAI"je kuna mwenye maana ya hili neno na asili yake
Izz JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 750 Reaction score 322 Jun 7, 2013 #2 Kwa maana ya haraka haraka ni " kama noma na iwe noma" asili ya neno hilo ni kutoka moja ya makabila mkoani Tanga
Kwa maana ya haraka haraka ni " kama noma na iwe noma" asili ya neno hilo ni kutoka moja ya makabila mkoani Tanga
K Kifyatu JF-Expert Member Joined Oct 12, 2010 Posts 3,382 Reaction score 3,220 Jun 8, 2013 #3 radiation said: lipo neno ama msemo ambao hutumika sana siku hizi "KAMA MBWAI IWE MBWAI"je kuna mwenye maana ya hili neno na asili yake Click to expand... Eeee! Karibu Tanga. MBWAI ni neno la lugha za Tanga (Kibondei, Kisambaa, nadhani na Kizigua) likimaanisha NINI. Sasa vijana rijali wanapotaka kuzichapa ndondi wanaulizana, NINI...NINI au MBWAI...MBWAI. Baada ya hapo konde la kwanza linatupwa. Wagosi na wandee wa kaya, haya nihinyani. (Hiki ni Kibondei) kikimaanisha Ladies and Gentlemen from home, correct or advise me.
radiation said: lipo neno ama msemo ambao hutumika sana siku hizi "KAMA MBWAI IWE MBWAI"je kuna mwenye maana ya hili neno na asili yake Click to expand... Eeee! Karibu Tanga. MBWAI ni neno la lugha za Tanga (Kibondei, Kisambaa, nadhani na Kizigua) likimaanisha NINI. Sasa vijana rijali wanapotaka kuzichapa ndondi wanaulizana, NINI...NINI au MBWAI...MBWAI. Baada ya hapo konde la kwanza linatupwa. Wagosi na wandee wa kaya, haya nihinyani. (Hiki ni Kibondei) kikimaanisha Ladies and Gentlemen from home, correct or advise me.