Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
mara nyingi nimekua nikifatilia habari kwenye vyombo vya habari vya kenya na hata BBC wakihariri habari wakenya hulitumia neno KUKASHIFU kama kulalamika au kupinga maamuzi au maneno yaliofanywa na wengine ntatoa mfano wa habari ilioripotiwa na BBC jana
hapa anamaanisha akipingana na maamuzi ya refarii. mm hunipa tabu maana nnavyojua mm kwa kiswahili cha zanzibar nilipotoka sina hakika ni Tanzania yote neno kashfa hutumika kwa dhamira ya matusi au matendo maovu na sio kulalamikia au kukosoa
nnaomba tusaidiane kuelimishana huenda mm sijaelewa vyema
Mshambulizi wa Uholanzi Arjen Robben amekiri kuwa alidanganya timu yake ikapewa penalti ya ushindi lakini akasema alikuwa ametegwa .
.Kocha wa Mexico Miguel Herrera amemkashifu refarii wa mechi yao na Uholanzi Pedro Proenca kwa kuipendelea Uholanzi
hapa anamaanisha akipingana na maamuzi ya refarii. mm hunipa tabu maana nnavyojua mm kwa kiswahili cha zanzibar nilipotoka sina hakika ni Tanzania yote neno kashfa hutumika kwa dhamira ya matusi au matendo maovu na sio kulalamikia au kukosoa
nnaomba tusaidiane kuelimishana huenda mm sijaelewa vyema