Neno Kigodoro maana yake ni nini? Je, ni tusi?

Neno Kigodoro maana yake ni nini? Je, ni tusi?

kuchangumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2014
Posts
724
Reaction score
290
Jamani kuuliza sio ujinga mimi nasoma humu ndani kila siku najiuliza hili ni tusi au nini leo naomba tuambiane huli neno maana yake ni nini na chimbuko lake pia KIGODORO!
 
"he he heee......haloooo..... kantangaze!"
 
tatizo UMEZALIWA ocean road ukakulia masaki

HIVI ULIVYOKUWA MTOTO ULIPEWA DAWA YA MINYOOO??

sisis tulipewa kutokana na mazingira yetu yaani kila baada ya miezi mi3 hhahahaha kama femigeshen lol

ila misemo mingi ya kiswahili kuijua mara nyingi

ANGALIA NA KUSIKILIZA RUSHA ROHO

au nenda kwenye KIGODORO
 
Kigodoro ni zile harusi za uswahilini mkuu

Malizia kua ni zile harusi ambazo lazima wakeshe Usiku na Taarabu juu,

Hapo ndipo unapowasikia kina MSAGA SUMU na mwenzie KHALID KAPALA kama ma-MC.

Mara nyingi harusi hizi hua hazipelekwagi Diamond Jubilee, Mlimani City, wala Mirado Sinza, bali hapo hapo mtaani ndio ukumbi wenyewe. Ni kiasi tu cha kuweka mawe au matairi upande mmoja wa barabara na mwingine ili kuzuia magari kupita, na wala hii haihitaji kibali cha yoyote.

Pia hakunaga mwaliko wa kadi bali wewe mwenyewe ni kadi tosha.

Godoro ni la kulalia, na hizi harusi hua hawalalagi, na pengine hukesha mpaka asubuhi. Ndio maana kwa kua ni mbadala wa kitanda basi ikapewa hilo jina.
 
Malizia kua ni zile harusi ambazo lazima wakeshe Usiku na Taarabu juu,

Hapo ndipo unapowasikia kina MSAGA SUMU na mwenzie KHALID KAPALA kama ma-MC.

Mara nyingi harusi hizi hua hazipelekwagi Diamond Jubilee, Mlimani City, wala Mirado Sinza, bali hapo hapo mtaani ndio ukumbi wenyewe. Ni kiasi tu cha kuweka mawe au matairi upande mmoja wa barabara na mwingine ili kuzuia magari kupita, na wala hii haihitaji kibali cha yoyote.

Pia hakunaga mwaliko wa kadi bali wewe mwenyewe ni kadi tosha.

Godoro ni la kulalia, na hizi harusi hua hawalalagi, na pengine hukesha mpaka asubuhi. Ndio maana kwa kua ni mbadala wa kitanda basi ikapewa hilo jina.

hahahahahahah.. umetisha mkuuu
 
Malizia kua ni zile harusi ambazo lazima wakeshe Usiku na Taarabu juu,

Hapo ndipo unapowasikia kina MSAGA SUMU na mwenzie KHALID KAPALA kama ma-MC.

Mara nyingi harusi hizi hua hazipelekwagi Diamond Jubilee, Mlimani City, wala Mirado Sinza, bali hapo hapo mtaani ndio ukumbi wenyewe. Ni kiasi tu cha kuweka mawe au matairi upande mmoja wa barabara na mwingine ili kuzuia magari kupita, na wala hii haihitaji kibali cha yoyote.

Pia hakunaga mwaliko wa kadi bali wewe mwenyewe ni kadi tosha.

Godoro ni la kulalia, na hizi harusi hua hawalalagi, na pengine hukesha mpaka asubuhi. Ndio maana kwa kua ni mbadala wa kitanda basi ikapewa hilo jina.

Mkuu ulishaalikwa nini?maana umeeleza nikawa kama nimeshauzuria hahaha
 
Malizia kua ni zile harusi ambazo lazima wakeshe Usiku na Taarabu juu,

Hapo ndipo unapowasikia kina MSAGA SUMU na mwenzie KHALID KAPALA kama ma-MC.

Mara nyingi harusi hizi hua hazipelekwagi Diamond Jubilee, Mlimani City, wala Mirado Sinza, bali hapo hapo mtaani ndio ukumbi wenyewe. Ni kiasi tu cha kuweka mawe au matairi upande mmoja wa barabara na mwingine ili kuzuia magari kupita, na wala hii haihitaji kibali cha yoyote.

Pia hakunaga mwaliko wa kadi bali wewe mwenyewe ni kadi tosha.

Godoro ni la kulalia, na hizi harusi hua hawalalagi, na pengine hukesha mpaka asubuhi. Ndio maana kwa kua ni mbadala wa kitanda basi ikapewa hilo jina.

alafu mziki huwaga mkubwa sana taraab mwanzo mwisho kama upo nyumba ya jirani huwezi kulala siku iyo, bange zinavutwa hadharani, madada poa nao kama kawa!
 
Ni kwa nini wadada huwa hawavai nguo za ndani wakati wa kigodoro
 
Ni kwa nini wadada huwa hawavai nguo za ndani wakati wa kigodoro
Nguo za ndani hubana mwili, na Hao wadada hua wamelenga wacheze kwa kutingisha maungo yao (kukatika), akivaa nguo ya ndani itamfanya ashindwe kuchezesha au kutingisha maungo vizuri.
 
Nguo za ndani hubana mwili, na Hao wadada hua wamelenga wacheze kwa kutingisha maungo yao (kukatika), akivaa nguo ya ndani itamfanya ashindwe kuchezesha au kutingisha maungo vizuri.
Naomba utuwekee video ya kigodoro mpnz
 
Back
Top Bottom