matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Mtu anayemuamini Mungu kuwa ombaomba ni kumdhalilisha Mungu.
Wakristo wengi kupinga utajiri kama aliokuwa nao Baba yao wa imani Ibrahim kumewafanya kuwa ombaomba. Wao na wachungaji wao.
Ushauri wa leo, ikiwa hutaki kupambana kuwa huru kifedha na upate fedha nyingi za kubaki kugusa maisha ya wengine, basi jitahidi usiwe ombaomba.
Njia tuliyoelekezwa ya kutokuwa ombaomba sio kuajiriwa bali ni kufanya biashara.
👇👇👇👇👇👇👇👇
1 Thessalonians 4:11-12
[11]And that ye study to be quiet, and to do your own business, and to work with your own hands, as we commanded you;
Tena mjitahidi kutulia, na kutenda shughuli zenu, na kufanya kazi kwa mikono yenu wenyewe, kama tulivyowaagiza;
[12]That ye may walk honestly toward them that are without, and that ye may have lack of nothing.
ili mwenende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na haja ya kitu cho chote. Kuja kwa Bwana
Wakristo wengi kupinga utajiri kama aliokuwa nao Baba yao wa imani Ibrahim kumewafanya kuwa ombaomba. Wao na wachungaji wao.
Ushauri wa leo, ikiwa hutaki kupambana kuwa huru kifedha na upate fedha nyingi za kubaki kugusa maisha ya wengine, basi jitahidi usiwe ombaomba.
Njia tuliyoelekezwa ya kutokuwa ombaomba sio kuajiriwa bali ni kufanya biashara.
👇👇👇👇👇👇👇👇
1 Thessalonians 4:11-12
[11]And that ye study to be quiet, and to do your own business, and to work with your own hands, as we commanded you;
Tena mjitahidi kutulia, na kutenda shughuli zenu, na kufanya kazi kwa mikono yenu wenyewe, kama tulivyowaagiza;
[12]That ye may walk honestly toward them that are without, and that ye may have lack of nothing.
ili mwenende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na haja ya kitu cho chote. Kuja kwa Bwana