Nafurahi kupata wasaa huu kujieleza kidogo kuhusu isale
Isale ni mmea au ati amba ni jamii ya mono cotiledon ambao ni komon sana maeneo ya nyumbani kwa Wachaga
Yaani nje ya nyumba, pembeni ya nyumba, kwenye makaburi kwenye mifupa ya wazee
Kiufup ni mmea wa kimila
According tu mapokeo mmtu akikukosea na akataka msamaha wako na wewe ukakataa basi akija na sale ni vyema ukakubali na pia ni vyema ukienda kuomba msamaha uwe unamaanisha kwel
Kiufup mm naona ni mmea wa ajabu kwani una majani mazito lakini haukauki wala kupauka wakati wa kiangazi
Pia kifupi haufai kwa kuni au hairuhusiwi kwa kuni
Pia hutumika kujenga uzio
Huws ukikuwa Sana huwa wanakatia mbuzi lakini sio chakula cha kudumu
Nafurahia.....
Mwezrahi